Hiyo mimba kajibebesha?
mme wa mtu mke wa mtu bao la mkono hili ajali kazini, akaitoe next time atiane na condom
michepuko kila mtu anayo tusijitie unafiki hapa
Ukute mumeo aliamua kabisa kuzama chumvini ili akuridhishe, since he was away. Kumbe masikini ya Mungu anazamia shahawa za mwanaume mwenzake...ptyuuuuu! What the hell is going on in some people's minds. Unalalwa na wanaume wawili siku moja, una tofauti gani na malaya wanaojiuza kimboka? Kwa nini ukaolewa basi, Kuna watu either kwa kujua au kwa ulimbukeni, wanadhalilisha jinsia zao!!!
Ukute mumeo aliamua kabisa kuzama chumvini ili akuridhishe, since he was away. Kumbe masikini ya Mungu anazamia shahawa za mwanaume mwenzake...ptyuuuuu! What the hell is going on in some people's minds. Unalalwa na wanaume wawili siku moja, una tofauti gani na malaya wanaojiuza kimboka? Kwa nini ukaolewa basi, Kuna watu either kwa kujua au kwa ulimbukeni, wanadhalilisha jinsia zao!!!
Watoe unafiki hapaHivi hujagundua leo humu wanaume wote ni watakatifu a.k.a mashahidi wa jehova.
Duh? Michepuko noma hv je ukigndulika na hiv ina mana na mr utakuwa amevichota.
Hiyo mimba kajibebesha?
mme wa mtu mke wa mtu bao la mkono hili ajali kazini, akaitoe next time atiane na condom
michepuko kila mtu anayo tusijitie unafiki hapa
Hapa ukiangalia zaidi ya wanaomsapoti huyu mwanamke wengi wao ni
. Kundi moja wote vuruka njia,
. Wameachika,
. Wamezalisha na kuachwa sababu ya kurukia mambo,
. Makahaba.
. Ktk hali ya kawaida huwezi kuunga mkono ushenzy huu.
Hapa ukiangalia zaidi ya wanaomsapoti huyu mwanamke wengi wao ni
. Kundi moja wote vuruka njia,
. Wameachika,
. Wamezalisha na kuachwa sababu ya kurukia mambo,
. Makahaba.
. Ktk hali ya kawaida huwezi kuunga mkono ushenzy huu.
Kweli hili limenigusa, uwe unafiki au ukweli but truth should be said. Kuna watu wanadhalilisha jinsia zao. Huyo mume wa mtu, mpumbavu sana, analea familia na yawzekana Ana watoto ambao hata hawezi kuwatimizia matakwa yao 100%. Lakini kwa upumbavu wake, amesomesha malaya from diploma level hadi chuo kikuu, kumpatia ajira...futseke zake!! Huenda hata familia yake imeathirika kwa yeye kujionyesha kijogoo kwa michepuko huko nje...futseke zake...Watoe unafiki hapa
Mmh wee acha tuu, halafu ni graduate ambaye tungetarajia elimu yake ingemsaidia kufanya maamuzi sahihi ya kuvaa ndom..
Mkuu, tunalalamika kuwa dada zetu wanajiuza kwa kimboka, kumbe hatujui yawezekana tunaishi na wake zetu wanaojiuza indirectly.umenichekesha sana eti ptyuu. Mkuu haya mambo acha tu
Kila siku kwa kungwi tu, kwa mwali lini???? msijifanye hapa huwa mnatundelea ushenzi tuna nyamaza ndo tumeanza sasa kulipa, naona waume wamefura humu inauma eenh, ovyo kabisa
Hapo sasa, na kwa nini akubali kuolewa na mtu anayesimamisha mara moja kwa wiki kama alijua hatoweza kustahamili?You are absolutely right ukute hata kuongea na mmewe kuhusu tatizo alilonalo wala hakujishughulisha nalo alijua toka mwanzo kwamba mmewe Ana matatizo why asichukue tahadhar mapema na kumsaidia?? Ningekua n mmewe ningemuacha