Sina ujanja wa kuwakataa wasichana

we endelea tuu kuwachapa mk,,a.... halafu subiri kizaa zaa,,,,,,,,,,,,,,,,, waambie familia waandae pemperss,,,,,na nanihino eeeh,,,umenigeti bwana kubwa,,,, na mi pia ntakuja bora ni bure tuu,,, au wauzaaa????????

NILHAM, hapo red sijaelewa!
 
ningekuwa sina mpenzi ningekwambia tuonane ,yaani usingetamani mwanamke yeyote .ningeikomesha hiyo tabia yako
Ungefanyaje FL,maana unanitisha sijui ungetumia njia gani kumkomesha hiyo tabia yake mbaya.
 
Angalia usije ukawa unataka kumpa dawa ya utamu kama ni hiyo utaumia best.
uganga umeanza lini wewe kama siyo unamtamani mwenzako

we subiri....wakati naongea na wateja unatulia....si unajua waungwana hawataki kiwingu......naomba nimshughulikie mteja tafadhali
 
...kamua tu! voda na tigo kamua tu! mchana na usiku kamua tu! hivyo vijisenti usisahau kuweka bima ya mazishi maana kifo kinapiga hodi mlangoni, kuna madege mengi yasiyoliwa ambayo likly ukayatafuna.
 
Tayari uhandsome wako ni mwiba kwako, nitrachangia ile nguo ya mwiso wa maisha
 
Na akiendelea kugonga atagonga hadi jiwe, eti yeye handsome wala hajisifii, mwanaume mzima unadanganywa na mabinti na unakubali!
Ajabu sana
wewe inatakiwa upelekwe Mombasa, ukapigwe kipapai, hamu zako zitahamishiwa kwenye kalio
 

Unasema hujisifia wakati unajisifia, sema bwana kama unataka dada zetu humu ndani na kamtego ka sisimizi wakati humu kuna Tembo.


Unanikumbusha jamaa mmoja alitumia mtego wa 'dume kuvaa shanga' akawamaliza mademu wote mtaani kwetu, yaani alivyompata wa kwanza akaona mwanamme kavaa shanga (nyingi) akaenda kuwahadisia wenzake, basi kila demu alikuwa anajisogeza ili akashuhudie zile shanga, kutahamaki mtaa kwisha.
 
Midege isiyoliwa katafuna mingi na atakuwa ananuka ile mbaya
Naomba ataje angalau wachache mimi nataka kuoa mke wa pili nisije jikwaa kati ya chain hiyo ya mjidege
...kamua tu! voda na tigo kamua tu! mchana na usiku kamua tu! hivyo vijisenti usisahau kuweka bima ya mazishi maana kifo kinapiga hodi mlangoni, kuna madege mengi yasiyoliwa ambayo likly ukayatafuna.
 
Nakukumbusha kwamba kuna UKIMWI ambao hauna dawa mpaka sasa
 


We endelea tu, ila matokeo yake ni mimbas and watotos kibao, wengine wa kupakaziwa, Na kibaya zaidi, utaanza kusema una 'kisukari' utakapokuwa umepata 'ngoma'.
 
Duh!kiongozi kama kama mdomoni mwako hakuna NO,then njia ya rahisi ya kukusaidia katika hilo fanya lifuatalo,Tafuta sehemu tulivu kisha wapigie simu wote waalike lakini sharti waambie waje na Baba zao...wakiweza wote kuja na dingi zao we jitambulishe kuwa ndio mgongaji wa wote hapo...then ukiweza kurudi home salama,then mkuu Endelea kugonga hizo ngozi but dont forget Kondomu ok.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…