Since 2005, Kenya has spent a cumulative $8.8 billion (Sh884billion) on military hardware

Hapa tunaanza kwenye maji sasa
 
Hao wanasilaha za kisasa zaidi yenu but wanauwawa kama kuku na wauthi..kuwa na silaha na morali ya vita ni vitu viwili tofauti ambavyo vinatofautisha kati ya TPDF na KDF
 
Tuendeleee hii ni TZ sio wale wanyoonge wa kenya
 
Hao wanasilaha za kisasa zaidi yenu but wanauwawa kama kuku na wauthi..kuwa na silaha na morali ya vita ni vitu viwili tofauti ambavyo vinatofautisha kati ya TPDF na KDF
Unadhani sasa hao Kenya hata wana silaha. Ni mbwembwe tu hawana lolote. Silaha hawana, Njaa inawaua na huku wanakuja na mbwembwe za ajabu kweli. Jeshi la kenya ni moja ya majeshi manyoooonge sana hapa Afirica. Wakisikia mlio wa risasi wanakimbia kujificha uvunguni.
 
Hayahaya hii ndio TZ bana. Huwezi kulinganisha na jeshi la wezi wa ice cream wa Kenya
 
"Wavaa sandals na yeboyebo" wamewashinda na mpaka leo mmegoma kutoa idadi ya wanajeshi wiliouawa somali cuz ni aibu tupu..alaf mnajitapatapa na vidude vyenu hivyo..Uliza JWTZ waliwafanya nini M23 alaf ndo uje kuropokwa huku..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tunawapa mfano tu kisha muenda mkajifunze. Hii ndio TZ baba sio wala milungi wa Kenya
 
Hapa kazi tu. Hatutaki longo longo za wakenya maneno meeengi kazi zero. Work = Force x Distance
Kama upo na force na distance ni zero then workdone = zero. Ndio Jeshi nyoooonge la kenya linavyofanya
 
56 KDF soldiers killed in Somalia honoured at fete


Tanzania iko za zero experience kwa vita vya ugaidi. hadi ile siku mtaenda kupigana 'Holy war' mfunge midomo yenu tafadhali... Eti unajicompare na wale washamba wa M23, hivyo ni vita aina tofauti bana...
vita vya M23 ambao walikua wanataka uongozi tu... vilichukua mwaka mmoja miezi saba...wanajeshi waliongoza kutoka nje ni wa south africa (1,400), wakafwatwa na tz1(1,200) na wa DRC wenyewe aambao ndo walikua wako kwa frontline..... M23 ilikua inatoshana mtu 6,000.... baada ya mwaka mmoja miezi saba, m23 takriban mia nane walikua wamekufa....hao wengine waka surrender na kutupa silaha..


KDF inapigana vita vya kigaidi...hapa hakuna cha ku surrender, wanaeka mitego ya IED barabarani, wengine wanajifunga mabomu na kukufwata mbio wakati mnashika doria mitaani somalia, mtu ako radhi ajitoe mhanga.....

Kenya iliingia somalia October 2011, baada ya mwaka moja october 2012, kenya peke yake (Bila kuchanganya Uganda, burundi,Ethiopia ) ilikua imemaliza alshabaab 3,000 Kenyan Forces Outperforming US Forces in War Against Islamists
Lakini alshabaab hawakuangusha silaha, infact, kadri unavyo waua ndo wengine wanazidi kuongezeka, wanazidi kujitoa mhanga kulipiza kisasi....


I recommed, tafuta series flani mpya inaitwa 'Taking Fire', wanajeshi wa marekani kutimia kamera ambazo walikua wanazifunga kichwani walikua wanapiga vedio wakipigana na magaidi afhganistan, karibu kila time walikua wakipiganan nao, mmarekani alikua anapoteza mmoja au wawili, kuna wakati walitegeshewa bomu moja kubwa hata hutaamini, wamarekani na nguvu zao zote walichukua miaka zaidi ya kumi kupambana na magaidi, sahii inasemekana kuna magaidi wengi zaidi kuliko wakati wowote mwengine wa ki historia..... Alafu wewe unakuja turingia na wale washamba wa M23 ambao hata hawakuenda shule... Alshabaab uwauwe hadi ubakishe wawili, hao wawili bado watakufwata ukizubaa na wakumalize
 
Kwikwikwikwi. Hao Al Shababu wala sio magaidi. Ni wanamgambo tu wamewatoa tumbo joto mnalialia kama watoto yatima.
Jeshi lenu ni nyoooooonge mno.
 
Annael
we ni nothing but a fanatic, out of touch with your own reality
muulize muamerica kwanini alikimbia somalia, muulize muithopia kwanini baada ya kushinda vita 2005 na kufika hadi kismayu alijitoa na kurudi nyumbani bila kusherehekea kuregesha amani

Hata haujui tofauti ya gaidi na mwanamgambo, I sujjest ujielimishe kwanza alafu urudi.. hapa si kule DRC mlienda kubaka watoto hadi ikabidi mfungiwe ndani ya kambi... mlituaibisha kweli kama nchi ya kutoka upande wa mashariki mwa africa, kuna vitu vyengine bana si vyakufanya na mwanadamu yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…