Lyatuu the Great
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 212
- 85
Sikuwahi kufikiria kuna siku hospitali zetu zitakosa sindano muhimu kama hii ya tetenas teba haoa Dar. na wizara ya afya ikakaa kinya bila hata kutoa tamko au kutujulisha wananchi juu ya uhaba huu wa sindano ya tetenas na ni muhimu katika hospitali zetu.
Ni jana tarehe 22/3/2016 mke wangu aliumia mguu kwa kukatwa na bati ikabidi nimwambie aende hospitali sinza palestina akapata matibabu ila akakosa huduma ya sindano ya tetenasi akaagiziwa aende hospitali nyingine ndipo alipojaribu zahanati za jirani kama AAR Sinza madukani ila pia akakosa huduma hiyo.akajaribu zahanati nyingine ikiyoko njia ya sinza kijiweni kwenda tandale pia akakosa huduma hiyo Akarudi nyumbani.
Kwa bahati nzuri nilikuwa ndio narudi nyumbani kuchukua baadhi ya nyaraka niendelee na kazi zangu za siku aliponiambia nikamuambia tuongozane wote kwenye hospitali zaidi kutafuta hufuma hii ya sindano ya tetenasi tukaanzia mwanamyamala tukakosa dipensary zote pia wanasema wameshapeleka mahitaji ya sindano ya tetenas ila hawajaletewa.
Dawa bado nilihangaika hospitali na zahanati mbalimbali bika mafanikio mwisho tulipewa wazo la kununua dawa hiyo kwenye phamarcy ya nakiete iliyopo mwenge ndio nikapata.Naiomba wizara ya afya kupitia kwa waziri wake Ummy Mwalimu na Naibu wazuri Dkt Hamis Kigwangala wajitahidi dawa muhimu kama hii iwe inapatikana kwani ni hatari kwa kukosekana kwa dawa hii katika hospitali na zahanati pia.
Ni jana tarehe 22/3/2016 mke wangu aliumia mguu kwa kukatwa na bati ikabidi nimwambie aende hospitali sinza palestina akapata matibabu ila akakosa huduma ya sindano ya tetenasi akaagiziwa aende hospitali nyingine ndipo alipojaribu zahanati za jirani kama AAR Sinza madukani ila pia akakosa huduma hiyo.akajaribu zahanati nyingine ikiyoko njia ya sinza kijiweni kwenda tandale pia akakosa huduma hiyo Akarudi nyumbani.
Kwa bahati nzuri nilikuwa ndio narudi nyumbani kuchukua baadhi ya nyaraka niendelee na kazi zangu za siku aliponiambia nikamuambia tuongozane wote kwenye hospitali zaidi kutafuta hufuma hii ya sindano ya tetenasi tukaanzia mwanamyamala tukakosa dipensary zote pia wanasema wameshapeleka mahitaji ya sindano ya tetenas ila hawajaletewa.
Dawa bado nilihangaika hospitali na zahanati mbalimbali bika mafanikio mwisho tulipewa wazo la kununua dawa hiyo kwenye phamarcy ya nakiete iliyopo mwenge ndio nikapata.Naiomba wizara ya afya kupitia kwa waziri wake Ummy Mwalimu na Naibu wazuri Dkt Hamis Kigwangala wajitahidi dawa muhimu kama hii iwe inapatikana kwani ni hatari kwa kukosekana kwa dawa hii katika hospitali na zahanati pia.