1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
hahaa ingekuwa hauoni sifa zake" usingediriki kuipost kila mara kadhaaTatizo macho mkuu bila miwani hakuna kitu si unajua vumbi la dodoma
ewaaa huko huko ndio kwenye shida kuu sasaAaah aaah sem nini naona kwa mbali sanaa tena kule mkiani tu.
Nishukie wapi" unaeza zirai ghafla kwa hii sms
Huyo kma unakutana nae ma late night hata kma kavaa suit n tie lazima uende mbio ukijua kupatwa ndo huko.hahahha amedamshi!simpatiag pic kwennye mambo mengi
hhahhahaha kupatwa kwa mtuHuyo kma unakutana nae ma late night hata kma kavaa suit n tie lazima uende mbio ukijua kupatwa ndo huko.
Huyo anakaa askofu general wa kikosi cha flying squad....btw ulifkiria ni hadi ukapost ile pic[emoji23] [emoji23]hhahhahaha kupatwa kwa mtu
Huyo anakaa askofu general wa kikosi cha flying squad....btw ulifkiria ni hadi ukapost ile pic[emoji23] [emoji23]
Hhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] unaonekana wew sio mtu mzuri kidogo.ππππππ huwa nasismka sana kwa "key" km hizi aisee
Hhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] unaonekana wew sio mtu mzuri kidogo.
Nijuze hao madem wa niger hukuaje?mchachu km wanawake wa naija