Singapore: Daktari feki wa wanawake Facebook, jela miaka 4

Singapore: Daktari feki wa wanawake Facebook, jela miaka 4

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mtuhumiwa huyo Ooi Chuen Wei, 37, ni Mwanaume ambaye alikuwa na utambulisho wa bandia katika mtandao huo amekutwa na hatia ya kuwadanganya wanawake na kuwashawishi wamtumie taarifa zao ikiwemo picha za sehemu zao za siri.

Ooi Chuen alikuwa akiwasiliana na Wanawake na kuwatumia fomu ya ujaza akihitaji taarifa zao za maisha yao ya ngono, kazi aliyoifanya kwa miaka minne.

Alikusanya picha na video 1000 zikionesha sehemu za maungo ya Wanawake walioamini wanamtumia taarifa hizo daktari wa ukweli kwa ajili ya kusaidiwa matatizo yao ya kiafya.

Alibainika baada ya Mwanamke mmoja kushtukia mchezo na kutoa taarifa polisi aliomfuatilia na kumkamata.



----------------

Singapore jails man who posed as female gynecologist on Facebook to get intimate photos

Man Who Posed As Female Gynecologist On Facebook To Get Intimate Photos Jailed

A man who fooled dozens of women into sending him photos of their genitalia by posing as a female gynecologist on Facebook has been sentenced to jail in Singapore.

The High Court on Wednesday found Ooi Chuen Wei, 37, from Malaysia, guilty of “cheating by personation” and sentenced him to three years and four months in prison.

Ooi used a fake Facebook profile to contact the women, asking them to fill out surveys that included questions about their genitals and sex lives, according to court documents seen by CNN.

Over a period of four years, he tricked 38 women and received close to 1,000 intimate photos and videos in return.

The offenses came to light last July when a woman, who had grown suspicious of Ooi and realized there was no such doctor, lodged a police report.

The police then raided Ooi’s home and seized his devices. During the course of the police investigation, he admitted tricking the women, according to the court documents.

Deputy public prosecutor R. Arvindren asked for a prison sentence of at least three years and eight months for Ooi, citing the large number of victims and how long Ooi had continued his deception.

“The accused executed a carefully thought out scheme to satisfy his sexual desires,” Arvindren said.

“(He) pretended that he was a female doctor and deceived several victims into sending various compromising photographs and videos of themselves. (He) has abused the trust the public has for doctors and he has exploited social media to commit the crimes,” he added.

Source: CNN
 
Back
Top Bottom