Singeli Hiphop, Muziki mtamu uswazi

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Naona singeli inakuja kwa kasi ya ajabu hasa kwetu uswazi. Dah uchezaji wake bado nashindwa kuuelewa lakini poa tu.

Angalia video tamu ya Singeli Hiphop kutoka kwa wakali wa muziki.

 
Beat za singeli zinakulazimisha ucheze, hata Kama hutaki kucheza utacheza
 
Watu wa singeli wamekuwa mcharo, kila msanii wa Bongofleva sasa atataka kuwa nao
 
Hii nzuri sana ...wawafungie tena ...
 
Wahuni singeli cheza singelii aiii mamaa[emoji445][emoji445][emoji445][emoji441] nashangaa ht huku arusha n mwend wa singelii
 
Hawa wabunge itabidi msiwaone wakienda haja mtakuja kuwaanzishia uzi humu
 
Ww unafikiri waliomchagua hawakujua career yake ni ipi.....??? Yaani umekiabisha sana kichwa chako, kwa hiyo ulitaka Abood kwa kuwa mbunge wa Morogoro aache biashara zake za mabasi?? Au hujui music is a business just like any other business??? A very low thinking capacity nimewahi kukutana nayo this 2016
 
Huu mziki wa aina ya singeli ni mzuri sana,nimependa jinsi prof J alivyowashirikisha kuwainua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…