Sikia hili wewe....Singeli la kihindi hili.
#punguza Wivu Piga kazi.
Vionjo muhimu
Mungu hataniwi....
habari ndio hiooo....
Mama mkanye mwanao...
Huruma sio malezi....
tubidi tu kuishi nao.....
Naing'arisha fasihi mi sio msanii bado ni mwanamuziki....
wanaforce tufanane....
siku zote saba masaa 24 bado naishi kama jana....
mi bado nipo japo kufika nilipo sio simple...
tukiwapa fair hawataki fair...
wanataka vita na vita hawawezi??
Hii apa Singeli bila matusi.
Juzi kati nimeona wakiibuka wanafiki eti wanajidai ni watumishi wa Mungu wanataka kuibebesha Singeli na ushetani...nasema washindwe na walegee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.