Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
JESHI la Polisi mkoani Singida, linamsaka mwanamke mmoja ambaye bado hajatambulika kwa majina na anwani ya makazi yake kwa kumtupa mtoto mchanga kwenye tundu la choo.
Mtoto huyo baada ya kuopolewa kwenye tundu la choo alipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida ambapo bado anaendelea kupatiwa matibabu hadi sasa.
CHANZO: NIPASHE
Mtoto huyo baada ya kuopolewa kwenye tundu la choo alipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida ambapo bado anaendelea kupatiwa matibabu hadi sasa.
CHANZO: NIPASHE