Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amekamatwa leo kwa kile kilichoitwa Uchochezi alioutoa kwenye Mkutano wa Lissu huko Mkalama, mpaka muda huu bado yuko Mikononi mwa Polisi.
Anatetewa na Wakili Msomi Tundu Lissu
---
Jeshi la Polisi mkoani Singida usiku huu limemuita kwa mahojiani Askofu Maxmillian Machumu (Mwanamapinduzi) kwa mahojiano baada ya kutoka kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu uliokuwa unafanyika katika kijiji cha Mangda Jimbo la Singida Kaskazini.
=====
UPDATE
Hatimaye Baada ya kuhojiwa Baba Askofu ameachiwa kwa dhamana usiku huu.
====
Pia soma: Huenda sababu ya Askofu Mwanamapinduzi kukamatwa ni kauli yake "...Bwana alitoa, CCM wametwaa, jina lao lilaaniwe!"
Anatetewa na Wakili Msomi Tundu Lissu
---
Jeshi la Polisi mkoani Singida usiku huu limemuita kwa mahojiani Askofu Maxmillian Machumu (Mwanamapinduzi) kwa mahojiano baada ya kutoka kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu uliokuwa unafanyika katika kijiji cha Mangda Jimbo la Singida Kaskazini.
=====
UPDATE
Hatimaye Baada ya kuhojiwa Baba Askofu ameachiwa kwa dhamana usiku huu.
====
Pia soma: Huenda sababu ya Askofu Mwanamapinduzi kukamatwa ni kauli yake "...Bwana alitoa, CCM wametwaa, jina lao lilaaniwe!"