Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Watu wa Soka,
Salamu kutoka Singida Big Stars.
Ratiba ya Ligi Kuu imeshatoka na mechi yetu ya kwanza tumepangiwa kucheza uwanja wa nyumbani na Wajelajela Tanzania Prisons siku ya Jumanne Agosti 16, 2022.
Nafahamu kwamba Mashabiki wetu, watanzania na watu kutoka mataifa mbalimbali siku hizi wanapenda kufuatilia timu yetu kila inapocheza, hivyo ratiba hii iwaongoze kujiandaa kutazama mechi ya Jumanne ambayo itakuwa ni ya kwanza kwetu baada ya kufuzu kuingia Ligi Kuu..
Prisons tunawaheshimu, lakini mipango yetu ni mikubwa zaidi kwahiyo tutacheza mpira mzuri wenye kusaka point 3 za mapema mapema ili tusonge mbele.
Tutarudi hapa kupeana matokeo!
Salamu kutoka Singida Big Stars.
Ratiba ya Ligi Kuu imeshatoka na mechi yetu ya kwanza tumepangiwa kucheza uwanja wa nyumbani na Wajelajela Tanzania Prisons siku ya Jumanne Agosti 16, 2022.
Nafahamu kwamba Mashabiki wetu, watanzania na watu kutoka mataifa mbalimbali siku hizi wanapenda kufuatilia timu yetu kila inapocheza, hivyo ratiba hii iwaongoze kujiandaa kutazama mechi ya Jumanne ambayo itakuwa ni ya kwanza kwetu baada ya kufuzu kuingia Ligi Kuu..
Prisons tunawaheshimu, lakini mipango yetu ni mikubwa zaidi kwahiyo tutacheza mpira mzuri wenye kusaka point 3 za mapema mapema ili tusonge mbele.
Tutarudi hapa kupeana matokeo!