Singida Black stars yachezea kichapo cha mbwa koko Kagame cup

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920

Leo walima alizeti wamekutana na kipigo kikali sana cha magoli matstu kwa moja.

Licha ya kufanya usajiri mkubwa lakini mambo yamekuwa ndivyo sivyo.

Kocha uchebe falsafa yake mpira wa chini ule wa pasi moja moja, wachezaji bado hawajaelewana hawana utulivu,
Wanapiga pasi za hovyo utazani Mtibwa Sugar.

Beki zinapokonywa mipira hovyo hovyo,

- Viungo wakabaji sifuri

- Winga wa kushoto sifuri

- Kipa sifuri

Kocha anafalsafa nzuri sana ila hawa wachezaji wapewe tiba ya kisaikolojia wanatetemeka hovyo uwanjani kiasi kwamba wanashindwa kupiga pasi vyema wanampasia adui halafu hawana speed
 
Vipi walipanga kikosi kamili au? Au Villa si ndio wapo kwenye fixture moja na Yanga kwenye klabu bingwa endapo kila mmoja atafuzu hatua inayofuata?
 
Salamu hizo kwa Kaka yao..huko Champions
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…