Singida fountain, kama Simba ilibebwa kule Zanzibaz subiri mechi ya marudiano NBC Taifa

Singida fountain, kama Simba ilibebwa kule Zanzibaz subiri mechi ya marudiano NBC Taifa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nyie mnadai Simba imebebwa ingawa mnajua tuliwapasua kwenu kwenye NBC, ss kama Simba haina uwezo subirini mechi ya marudiano NBC mtapima wenyewe kama hatuna uwezo au vip, wajinga kabisa nyie
 
Mbona wao pia walibebwa? Marefa ni binadamu.
 
Hakuna mechi yeyote itayochezeka Taifa tena mpaka mwezi October
 
Back
Top Bottom