Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
Kama kweli kigezo ni mkoa kuwa katikati ya nchi, basi singida ndio katikati na imeunganisha mikoa mingine mingi sana!
Singida ilistahili kuwa makao makuu ya nchi hii na si vinginevyo
Tazama ramani ujionee tunavyoina singida kupitia kona zote za nchi
Singida ilistahili kuwa makao makuu ya nchi hii na si vinginevyo
Tazama ramani ujionee tunavyoina singida kupitia kona zote za nchi