Pre GE2025 Singida kusherehekea siku ya wanawake duniani kwa kugawa mitungi ya gesi

Pre GE2025 Singida kusherehekea siku ya wanawake duniani kwa kugawa mitungi ya gesi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jumapili MKOA wa Singida unatarajia kuyatumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kila mwaka Machi 8, kwa kugawa mitungi ya gesi 29,000 yenye bei ya ruzuku kwa wanawake ikiwa ni hatua kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mkoani hapa.

photo-output.jpeg
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, akizungumza na waandishi wa habari leo amesema maandalizi ya Siku ya Wanawake Dunia katika mkoa huu yamekamilika ambapo miongoni mwa mambo yatakayofanyika ni kuhakikisha inafanyika promosheni ya kutosha ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Rais Dk.Samia Suluhu Hassan yeye ndiye kinara wa nishati safi duniani kwa hiyo katika taifa lake ameweka mipango mbalimbali ya kuhakikisha kwamba tunawafikia watu wengi kwa nishati safi ya kupikia na serikali inakuwa ndio namba moja na wadau wengine wanafuata," amesema Dendego.
 
Jumapili MKOA wa Singida unatarajia kuyatumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kila mwaka Machi 8, kwa kugawa mitungi ya gesi 29,000 yenye bei ya ruzuku kwa wanawake ikiwa ni hatua kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mkoani hapa.
View attachment 3255689
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, akizungumza na waandishi wa habari leo amesema maandalizi ya Siku ya Wanawake Dunia katika mkoa huu yamekamilika ambapo miongoni mwa mambo yatakayofanyika ni kuhakikisha inafanyika promosheni ya kutosha ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

"Rais Dk.Samia Suluhu Hassan yeye ndiye kinara wa nishati safi duniani kwa hiyo katika taifa lake ameweka mipango mbalimbali ya kuhakikisha kwamba tunawafikia watu wengi kwa nishati safi ya kupikia na serikali inakuwa ndio namba moja na wadau wengine wanafuata," amesema Dendego.
Wanawake wa cdm wasichangamane na hao wa ccm, wao wafanye kivyao.
 
Uongo mtupu,Kama Samia ni Kinara wa nishati safi duniani tuambieni Tanzania inashika nafasi ya ngapi kutumia gesi na umeme kupikia?
Tuache ujinga
 
Back
Top Bottom