Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Singida. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Singida una jumla ya majimbo ya uchaguzi 8 ambayo ni:-
Singida Mjini -
Ramadhan Sima(CCM) - Kura 23,220
Rehema Nkoha (CHADEMA) - Kura 15,467
Singida Kaskazini:
Rashid Mandoa(CCM) - kura 43,847
Lazaro Nyalandu(CHADEMA) - Kura 15,555
Iramba Mashariki:
Franscis Isack Minga (CCM)
Iramba Magharibi:
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (CCM)
Manyoni Magharibi:
Yahaya Omary Massare(CCM) - Kura 16,961
Shaban Sunta (CHADEMA) - Kura 7,529.
Manyoni Mashariki:
Dkt. Pius Stephen Chaya(CCM) - Kura 36,284
Aisha Yusuph Luja(CHADEMA) - Kura 4,773
Singida Mashariki:
Miraji Jumanne Mtaturu (CCM)
Singida Magharibi:
Elibariki Kingu (CCM) - kura 32,720
Hemed Ramadhan (Chadema) - Kura 7,446
Sufiani Juma (ACT-Wazalendo) kura 902
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Singida. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Singida una jumla ya majimbo ya uchaguzi 8 ambayo ni:-
Singida Mjini -
Ramadhan Sima(CCM) - Kura 23,220
Rehema Nkoha (CHADEMA) - Kura 15,467
Singida Kaskazini:
Rashid Mandoa(CCM) - kura 43,847
Lazaro Nyalandu(CHADEMA) - Kura 15,555
Iramba Mashariki:
Franscis Isack Minga (CCM)
Iramba Magharibi:
Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (CCM)
Manyoni Magharibi:
Yahaya Omary Massare(CCM) - Kura 16,961
Shaban Sunta (CHADEMA) - Kura 7,529.
Manyoni Mashariki:
Dkt. Pius Stephen Chaya(CCM) - Kura 36,284
Aisha Yusuph Luja(CHADEMA) - Kura 4,773
Singida Mashariki:
Miraji Jumanne Mtaturu (CCM)
Singida Magharibi:
Elibariki Kingu (CCM) - kura 32,720
Hemed Ramadhan (Chadema) - Kura 7,446
Sufiani Juma (ACT-Wazalendo) kura 902
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.