Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Katika kilele cha siku ya Wanawake Duniani Mkoa wa Singida, imeunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za kupambana na matumizi ya nishati chafu na kuhamia kwenye nishati safi, kwa kutowa mitungi zaidi ya 29,000 kwa wanawake wa Mkoa wa Singida kwa bei nafuu ambayo ita zinufaisha kaya 350,000 za mkoa huo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego, amesema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake kimkoa, ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani na kudai kuwa mitungi hiyo itawasaidia wanawake hasa wa vijiji kuboresha afya zao ambazo zilikuwa zikiathirika na moshi wa kuni.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego, amesema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake kimkoa, ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani na kudai kuwa mitungi hiyo itawasaidia wanawake hasa wa vijiji kuboresha afya zao ambazo zilikuwa zikiathirika na moshi wa kuni.