Katika kilele cha siku ya Wanawake Duniani Mkoa wa Singida, imeunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za kupambana na matumizi ya nishati chafu na kuhamia kwenye nishati safi, kwa kutowa mitungi zaidi ya 29,000 kwa wanawake wa Mkoa wa Singida kwa bei nafuu ambayo ita zinufaisha kaya 350,000 za mkoa huo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego, amesema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake kimkoa, ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani na kudai kuwa mitungi hiyo itawasaidia wanawake hasa wa vijiji kuboresha afya zao ambazo zilikuwa zikiathirika na moshi wa kuni.
Katika kilele cha siku ya Wanawake Duniani Mkoa wa Singida, imeunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za kupambana na matumizi ya nishati chafu na kuhamia kwenye nishati safi, kwa kutowa mitungi zaidi ya 29,000 kwa wanawake wa Mkoa wa Singida kwa bei nafuu ambayo ita zinufaisha kaya 350,000 za mkoa huo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego, amesema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake kimkoa, ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani na kudai kuwa mitungi hiyo itawasaidia wanawake hasa wa vijiji kuboresha afya zao ambazo zilikuwa zikiathirika na moshi wa kuni.
Ni kwamba sera za sasa ifikapo uchaguzi ccm inatumia rushwa kuomba wachaguliwe kwa mtindo huu.
Juzi tumesikia mbunge msukuma ana kwambia kanunua gari la wagonjwa kwa pesa yake.Hata kama ni kweli au uwongo.
Wengine nao wanatoa pesa kwenye vikundi,misaada ambayo ilitakiwa tokea kupata ubunge wao walitakiwa kuendeleza wanacho kifanya ila wanafanya ikifika uchaguzi.