Singida: Mkoa mdogo wenye umaarufu unasababishwa na jamii ya Watu wake

Singida: Mkoa mdogo wenye umaarufu unasababishwa na jamii ya Watu wake

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Leo nataka kuufahamu vizuri huu mkoa uliopo katikati ya nchi, huu mkoa unatajwa sana kutokana na uwepo wa watu wake wanaohusishwa na matukio mbali mbali ya kitaifa.

Karibu kila tukio kubwa la kitaifa huwezi kukosa watu wawili au mmoja kuhusika.
Hili kabila la Wanyaturu sijajua ni jamii ya watu wa aina gani? MAJINIAS sana au wana nini hawa watu?
 
Leo nataka kuufahamu vizuri huu mkoa uliopo katikati ya nchi, huu mkoa unatajwa sana kutokana na uwepo wa watu wake wanaohusishwa na matukio mbali mbali ya kitaifa.

Karibu kila tukio kubwa la kitaifa huwezi kukosa watu wawili au mmoja kuhusika.
Hili kabila la Wanyaturu sijajua ni jamii ya watu wa aina gani? MAJINIAS sana au wana nini hawa watu?
Ni wapole lakini hatupendi kuonewa Mkuu, ukituonea tunapigana, ukituibia ng'ombe tutakutafuta mpaka tukupate...na tukikupata utajuta!

Tunapenda haki hatupendi dhulma...Lissu, Nyalandu, Mama Mghwira

Kinyume chake Wanyiramba ni Wabinafsi na wanafiki mno...Reference Mwigulu, Kitila Mkumbo na Nalaila Kiula

Wanawake wa Kinyiramba ni kama wale "Wapalestina" wa Kilimanjaro, Kazi kwako!
 
Leo nataka kuufahamu vizuri huu mkoa uliopo katikati ya nchi, huu mkoa unatajwa sana kutokana na uwepo wa watu wake wanaohusishwa na matukio mbali mbali ya kitaifa.

Karibu kila tukio kubwa la kitaifa huwezi kukosa watu wawili au mmoja kuhusika.
Hili kabila la Wanyaturu sijajua ni jamii ya watu wa aina gani? MAJINIAS sana au wana nini hawa watu?
fundi wa madirisha yapi ? mbao, chuma au aluminium ? au fito kama unavyoonekana kwny avata

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Naona unapigia promo kabila lako baada ya kuona linasahaulika,siyo vibaya hata hivyo,ila umaarufu unapatikana kwa vitendo zaidi na siyo maneno matupu kama hayo ya ooh sijui kila tukio la kitaifa lazima pawe na mnyaturu!!! Huo ni upumbavu tu,ni sawa na kusema kuwa mzaramo ni maarufu kwa kuwa tu kwenye kila genge la umbea humkosi,pambaneni mjinasue na umasikini uliowatapakaa ili na nyie siku moja muwe watu mbele ya wenye vitu.
 
Wadada wa kinyaturu nao wazuri,tatizo lao tu huwa wsnakatwa ving'amuzi,sasa mbunye bila antena ni sawa na sotojo lisilo na chumvi...
 
Ni wapole lakini hatupendi kuonewa Mkuu, ukituonea tunapigana, ukituibia ng'ombe tutakutafuta mpaka tukupate...na tukikupata utajuta!

Tunapenda haki hatupendi dhulma...Lissu, Nyalandu, Mama Mghwira

Kinyume chake Wanyiramba ni Wabinafsi na wanafiki mno...Reference Mwigulu, Kitila Mkumbo na Nalaila Kiula

Wanawake wa Kinyiramba ni kama wale "Wapalestina" wa Kilimanjaro, Kazi kwako!

Ni kweli ni kweli! Singida kuntooo.
 
Wajuajiwajuaji
Wanaujasiri hata wa kusema uongo huku wamekunja sura kwa uchungu Mkubwa.

Bila kuwa makini rahisi kuwaamini bila kuchunguza facts.

Wajuaji ni kwasababu tunajua, ni wa kweli, ni wasiri na tuna akili, especially wanyaturu. Vivyo hivyo kwa wanyiramba shida yao ni wabinafsi mnoo.
 
Na mnamiliki wanawake weupeeeee na wepesi kutoa huduma.
 
Back
Top Bottom