Singida: Mwenyekiti UWT Ashauri Vigodoro kupigwa Marufuku

Singida: Mwenyekiti UWT Ashauri Vigodoro kupigwa Marufuku

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
HABARI Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Chatanda, ameiomba serikali kupiga marufuku miziki inayojulikana kwa jina la vigodoro kwa kuwa imekuwa ikisababisha mmomonyoko wa maadili nchini.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Manyoni mkoani Singida katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo mkoani humo amesema kuwa vigodoro vimekuwa vikisababisha madhara makubwa kwa jamii na kupelekea tabia za ubakaji kukithiri kwa namna ambavyo wanawake wamekuwa wakivaa nguo zisizo na stara.

Sources: EastAfricaTV
 
Asili ya music huu ni Dar es salaam, ni utamaduni katika burudani ndio transformation ya mdundiko na miziki mingine ya uswahilini kama mchiriku na singeli. Ukipiga marufuku vigodoro automatically singeli nayo itakufa.

Akina mama wanacheza vibaya sana muziki huo, wanakatikia ardhi mithili wako kitandani kunako majamboz huku watoto wakitazama show hiyo. Wakati mwingine mwanamke anainama anakatika huku mwanaume yuko nyuma yake mchana kweupe hawana aibu.

Ukute mwanamke mwenyewe kajaliwa makalio makubwa unaweza kujiuliza kama ana mume au hana kwa jinsi anavyocheza kwa staili ya kingono bila kujali umati wa watu hususani wanawake wenzake kwenye shughuli za kutuzana na harusi plus sherehe zingine za wanawake
 
HABARI Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Chatanda, ameiomba serikali kupiga marufuku miziki inayojulikana kwa jina la vigodoro kwa kuwa imekuwa ikisababisha mmomonyoko wa maadili nchini.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wilayani Manyoni mkoani Singida katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo mkoani humo amesema kuwa vigodoro vimekuwa vikisababisha madhara makubwa kwa jamii na kupelekea tabia za ubakaji kukithiri kwa namna ambavyo wanawake wamekuwa wakivaa nguo zisizo na stara.

Sources: EastAfricaTV
Vigodoro viko mpaka Singida?
 
UWT ni Umoja wa Wanawake Tanzania au Umoja wa Walimu Tanzania?
 
Ila kweli vigodoro hovyo sana.
Mambo ya pwani hayo. Dera bila chupi wanabambiwa hadi na watoto wadogo na kuchokana vidole vya kwenye nyashi[emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom