Hata ile ya Simba na Kaizer Simba alikula 4 huku ana possess mpira 78%Uliangalia mechi ya Belozdad na Yanga?
Kama haujaingalia itafute uiangalie ndiyo utajua mpira siyo kama unavyofikiria.
Pamoja na Yanga kuongoza Ball Possession kipindi cha kwanza na cha pili na tena walipiga mpira haswaaa ila walipigwa goli 3-0 bila hata goli moja la kufutia machozi hawakupata[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Naomba msaada wa kuelimishwa. Kipa akidakia nje hali ya kuwa mpira haukuguswa na mchezaji wa upande wake inakuwaje?Niseme kweli SSC bado inasafari ndefu.
Haiwezi ule mpira wa kukimbizana dakika 90 bila kuchoka, mpira wa SSC ni slow na sio mpira wa kulazimisha ushindi.
Bado nina mashaka na sajili zao, huyu Sarr ambaye ni Rasta ni kweli alicheza against Ronaldo au ndio sajili za promo kwa SSC.
Yule mchezaji aliyetoa pasi na adui kushinda goli shida ni umakini au ujinga.
Nakumbuka SAMATA alitimuliwa EPL’sababu mabosi zake hawakuwa na muda wa kumsubiri mtu awe mzuri au over time , tumekuajiri tunakulipa, leta matokeo, full stop.
Bado reform inahitajika SSC . Mpira wao sio mpira wa ushindani, bado sijajua shida ipo wapi SINBA? inawezekana Simba inahitaji pia mwanasaikolojia wa kuamsha morali ya wachezaji, I guess
Anyway , wachezaji wa Singida wajifunze NIDHAM ya mpira na hii ni shida snaa ndio maana wachezaji wetu wa ndani hawafiki mbali. Nyoso alikuwa mzuri snaa , where is he now ? DISCIPLINE NI MANDATORY kwenye any career development. Vijana msisahau hilo, ukitaka kumjua mchawi wako, nenda kwenye kioo.
Kuna yule alitaka kumpiga mwamuzi, hivi mtu kama huyu ameingiaje LIGI KUU?
Ameingiaje, mmmh
, huyu ni mtu wa kucheza mpira wa mchangani sio professional football, ni kijana wa hovyo na hopeless…. Hafik mbali kimpira.
Mpira ni kazi na inahitaji character development na reputation.
Leo hii Samata angekuwa anapiga waamuzi unadhan angeitwa tena huko Genk , vijana tuwe serious na kazi, kuna Camera, records , why would you do such a thing , stupid as stupid does.
Ni Kama wamefunga Goli kwa kubahatisha, why upoteze muda makusudi kabisa, dakika zimeongezwa that means hata nyie mnayo chance ya kuongeza goli, kitendo cha kupoteza muda ni kutojiamini na kukosa nidham.
Alichofanya refa ni sahih, and he was warning [emoji3544] them all along , kwamba acheni huo ujinga but hawakusikia
Na ile ni kona halali, waache kudhan wameonewa, wangepambana goli lisiingie sio kuleta excuses……. Goli la kimpira kabisa
kipa kaenda kudakia mpira nje then anarudi ndani, alitakiwa kuuacha. KONA NI HALALI NA GOLI NI HALALI
And still , Singida alikuwa na chance ya kuitoa SSC kwa penalt , mbona wameshindwa, hata huyo aliyetaka kumpiga Mwamuzi amekosa penalt …….. kiazi kanisa.
Wakati mwingine tuheshimu waamuzi, tusiwe na majibu yetu.
Mpira unaisha hadi filimbi ya mwisho na sio kujiangusha kama waarabu.
SSC mnayokazi ya ku reform timu yenu, ila Kombe linabaki Zanzibar.
Na ile ni kona halali, waache kudhan wameonewa, wangepambana goli lisiingie sio kuleta excuses……. Goli la kimpira kabisa
kipa kaenda kudakia mpira nje then anarudi ndani, alitakiwa kuuacha. KONA NI HALALI NA GOLI NI HALALI
Mpira uki toka nje hata ukidakwa bado haibadili maanaHakupaswa kurudi ndani
Alieanzsh Uzi ndo ilibid awe na point tatz umerukaruk Kam kangaroo mara huk Mar kulWewe point yako ni ipi?
Alitoka naoMpira uki toka nje hata ukidakwa bado haibadili maana
Asirud ndan aend nymbn au?Hakupaswa kurudi ndani
Singida walikuwa na uwezo ila baada ya kupata ile goli kuanzia kipindi cha kwanza wakaanza kupoteza mda,kwa akili ya kawaida unaanza kupoteza mpira kipindi cha kwanza halafu ushinde? Maana unaruhusu mashambulizi,kuna kipindi wanapiga tu mipira hata mbele ili mradi mda uende, I'm sure Singida angekomaa bila kupoteza mda angeshinda, wana wachezaji wazuri, kuna yule jamaa aliyekuwa anapitia kwa Israel Mwenda, dah jamaa ni shida ana spidi balaa ila wao wakaamua kupoteza mda na kuamua kutocheza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asirud ndan aend nymbn au?Hakupaswa kurudi ndani
Poa hain nom kam umeelewSawa
sio emotions, you need pints. also don't build a mountain on a lie. it will collapseSasa wewe umeandika nini
Too subjective . Emotional
Umeingia kwenye fantasy ya subjectivity
I thought you would put empirical Evidence as to how refa ana makosa
Stupid as stupid does , Madam
Sawa. Sisi tupo tutaangalia hakuna shida mkuu.Kuanzia leo sitopoteza muda wangu kuangalia mechi za ndani ya nchi hii.
Upumbavu mtupu.
Kumbe wewe umesoma bandiko lote, mie nimeishia robo tu 😂Umejaribu kuelez ila hauko sahihi alaf point Yako ni ipi mbn umejkanyag sana
Kwenye nidhani namkubali 100% na km angekua refa mwingine wangepigwa redi wachezaji Kwa walichomfanyia but he was very cool,Singida kunakipindi wanaenda shambulia it’s 1vs 3 lkn mpira anarudisha nyuma ‘Gadiel huyo’Wewe point yako ni ipi?