Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Club hii imekuwa ikishuka sana kwenye msimamo wa ligi kuu kutokana na kukosekana kwa morali kwa wachezaji na timu nzima kukumbwa na ukata wa fedha.
Wananchi wengi ni wapenzi wa mpira na wanapenda sana kuisapoti clabu ya singida united lakini kwa utafiti wangu noliofanya bila ya kibali kutoka ofisi ya taifa ya takwimu nimegundua kuwa, wananchi ( majority) hawapendi kuona picha ya mwanasiasa mmoja kwenye basi lao na kiongozi huyo alishawahi kuwa kiongoz mkubwa hapa nchini .
Uongozi wa singida united mnapaswa kutoa hiyo picha kwenye ubavu wa basi lenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi wengi ni wapenzi wa mpira na wanapenda sana kuisapoti clabu ya singida united lakini kwa utafiti wangu noliofanya bila ya kibali kutoka ofisi ya taifa ya takwimu nimegundua kuwa, wananchi ( majority) hawapendi kuona picha ya mwanasiasa mmoja kwenye basi lao na kiongozi huyo alishawahi kuwa kiongoz mkubwa hapa nchini .
Uongozi wa singida united mnapaswa kutoa hiyo picha kwenye ubavu wa basi lenu.
Sent using Jamii Forums mobile app