test man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 1,014
- 955
ndo mjue mkiona kimya hivyo ndo wameishiwa na mawazo hii timu msimu huu hakuna cha simba wala yanga, mpaka sasa mwenendo ni mzuri sana na usajili umefanyika vzr tu, kwa wale wanaopenda maumivu na mawazo mkashabikie timu ya taifa ya Tanzania huko msiri inavyopigwa bila huruma mbele ya viongozi wa Taifa