Singida wajumbe wa mabaraza wachaguliwa na wdc bila kjieleza, wazuiliwa kujieleza,

Singida wajumbe wa mabaraza wachaguliwa na wdc bila kjieleza, wazuiliwa kujieleza,

MADORO

Senior Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
198
Reaction score
117
Wapendwa wanajf. Nasikitika kuwatarifu kuwa wajumbe wa mabaraza ya katiba waliochaguliwa wamechaguliwa bila waraka kufuatwa, kwa kuzingatia sifa halisi za waombaji na kama waraka ulivyoagiza. Ambapo moja ya sifa ya mwombaji ni awe anajua kujieleza,na kupambanua mambo, hivyo wote walioteuliwa singida hawana sifa hii kwa kuwa mratibu wa zoezi hili singida ametoa agizo kuwa watu wasiitwe ili wahojiwe.lakini mkakati wa ccm,kazi kwao katiba ikitoka mbaya mateso yatauangamiza wote.naomba michango yenu wanajf.
 
Jina langu limepita kwa shida sana katika hatua ya kwanza kata ya Themi arusha, nasubiri hatua ya pili sasa ila fitna imetawala sana.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom