njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hajali huyo anawaambia nendeni burundi,akitolewaga madarakani teams zake huwa zinakufaIjumaa Ijayo Itakuwa Ya Kisomo Kumshtakia Mungu
Madilu systemHeshima na burdani kwa wanasingida inayoletwa na team ya singida big stars ni kubwa mno
Team imesajili wachezaji ghali inawalipa mishahara mikubwa sana hapo pia kuna wa brazil watatu wanaajua mpira saanaa
Pongezi kwa mzalendo wa tozo ubunifu wako umefanikiwa team yako ya kitajiri tozo zinaihudumia vizuri sana
Mzalendo namba mojaMadilu system
Naona Simba na utopolo mnaumia kwa sababu mumesajili magarasa 😆😆Heshima na burdani kwa wanasingida inayoletwa na team ya singida big stars ni kubwa mno
Team imesajili wachezaji ghali inawalipa mishahara mikubwa sana hapo pia kuna wa brazil watatu wanaajua mpira saanaa
Pongezi kwa mzalendo wa tozo ubunifu wako umefanikiwa team yako ya kitajiri tozo zinaihudumia vizuri sana
Kuna kitu kinaniambia huyu ni MadiluNaona Simba na utopolo mnaumia kwa sababu mumesajili magarasa 😆😆
Uko sahihi kabisa , endeleeni kuumia huko huko na magarasa yenu.Kuna kitu kinaniambia huyu ni Madilu
DuuhHata mabasi yake ya Esther Luxury coach yako vizuri sana kwa sasa.
jamaa anapiga pesa aisee si kuna ile kampuni ya betting piaHata mabasi yake ya Esther Luxury coach yako vizuri sana kwa sasa.
Tunafurahia tozo za wanuka jasho wasio na uwezo wa kufanya lolote zinanunua wachezaji wakali sanaNaona Simba na utopolo mnaumia kwa sababu mumesajili magarasa 😆😆
lini mzalendo ataelekeza kweingine tufaidi? au basi tu acha niende burundi endeleeni kufaidi nyie uko singidaNjoo na wewe ufaidi