Yusuphnyonyi
New Member
- Feb 17, 2025
- 1
- 0
Hii hali ipo kwenye Eneo la Zahanati ya Kijiji Cha Mjughuda, kata ya Ikhanoda wilaya Singida vijijini mkoani Singida. Ambapo wahudumu wa Zahanati hiyo wanatoza hela na kuwalipisha wananchi hela ili wapate huduma ambazo kimsingi zinatolewaga bure.
Huduma hizo ni kama vile
1-Kadi za kliniki kwa watoto wadogo na wajawazito.
2- Huduma za uzazi wa mpango.
3- Matibabu Kwa watoto chini ya miaka 5.
4- Huduma haipatikani kuanzia saa 11 jioni hadi saa 2 asubuhi nje ya huo muda hupati huduma kabisa
Hii ni kero sana wazazi wanajifungua nje ya kituo bila huduma ya wahudumu au daktari.
Huduma hizo ni kama vile
1-Kadi za kliniki kwa watoto wadogo na wajawazito.
2- Huduma za uzazi wa mpango.
3- Matibabu Kwa watoto chini ya miaka 5.
4- Huduma haipatikani kuanzia saa 11 jioni hadi saa 2 asubuhi nje ya huo muda hupati huduma kabisa
Hii ni kero sana wazazi wanajifungua nje ya kituo bila huduma ya wahudumu au daktari.