Single girl akiona hii lazima atukane

Whiever said anything about my likings?

I am talking positions based on philosophical analysis.

Waislamu wanaruhusu mwanamme kuoa mke zaidi ya mmoja, sasa itasemaje mwanamke ambaye hajaolewa a stay away from the opposite sex?

Ndoa za asili zinaruhusu kuoa mke zaidi ya mooja, na zinagambukiwa na serikali. Ukiangalia cheti cha ndoa kina sehemu wameainisha aina za ndoa unajaza, kqma ni ya kikristo, kiislamu au kijadi or something like that.

Sasa wewe ni nani mpaka upangue watu maisha kwa kuwakataza kupata mke wa pili na wa tatu na wa nne na wa tano na hata zaidi, kitu ambacho sheria inaruhusu.

Na kama mtu kakubaliana na mke wake kuongeza mke nwingine, na kwenye kutafuta kampata huyo ambaye hajaolewa, wewe tatizo lako linaanzia wapi?
 
Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini. Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria? Au nuru ina ushirika gani na giza?
 
Differentiate between marriage and come we stay relationship. Whoever is in a polygamous marriage is married. So, if you want to be a second wife, well and good but one thing that will remain a fact is that you are married. The problem comes when you are not ready to commit to be somebody's wife or husband but you keep playing hop-ste-and-jump on other peoples current or future assets.
 
Ukweli wako unaujua but nachojua mimi kila mtu anapenda kuoa au kuolewa ndo mtu anakua amekamilika lkn kama ujafanya ivyo vitu utaishia kuitwa muhuni tu
Umeuliza wangapi na wangapi wakakujibu hilo ili ujiaminishe hilo?

Umetembea nchi ngapi na kuona maisha gani tofauti tofauti?

Usifikiri kwamba dunia nzima ipo kama kijijini kwenu.

Kuna single ladies wengine nabii wao Oprah Winfrey.

Single black billionaire, in USD.
 
Mbona povu jng a u among of zose magume magumes mtakoma mmezidi
 
Mbona povu jng a u among of zose magume magumes mtakoma mmezidi
Umesha assume.

When you assume you make an ass of u and me.

Obviously you have never heard the idea of somebody making a case for a philosophical argument.

Kifaduro cha ubongo kina aina nyingi sana ya kujidhihirisha.

A one track mind cannot transcend it's narrow dimensionality.

Nishaeleza sababu yangu kifalsafa, kwamba sipendi unyanyapaa.

Lakini mtu kama wewe sifikiri hata kama neno unyanyapaa unalielewa maana yake nini.
 
Ukweli wako unaujua but nachojua mimi kila mtu anapenda kuoa au kuolewa ndo mtu anakua amekamilika lkn kama ujafanya ivyo vitu utaishia kuitwa muhuni tu

Usilazimishe fikra zako kwa wengine.

Njoo Japan au Korea Kusini. Kuna wanaume na wanawake wengi tu ambao hawataki kuoa au kuolewa.
Serikali inataka watu wazae zaidi na kuwapa kila aina ya misamaha ya kodi lakini wao wamekomaa na single life.

Hapa mwanamke ana elimu yake, ana kazi ya maana, ana mchumba, gari na nyumba yake. Huyu amekamilika kuliko yule anayeolewa kwa ajili ya sababu za kiuchumi.

Wanataka kufanya kazi na kustarehe tu. Harusi siyo muhimu kabisa kwake.

Ukienda nchi za magharibi kama Sweden au Uholanzi utawakuta watu wengi tu wanaishi pamoja na kuzaa lakini hawajaoana.

Hiyo mikaratasi ya ndoa ni utamaduni tu. Kwako hajakamilika kama hajaoa/ hajaolewa, kwake maisha yanakwenda kwa raha kama kawaida.

Usifananishe utamaduni wako na jamii nyingine. Tofauti ya elimu, jamii na uchumi inahusika sana na maamuzi yao ya kuishi bila ndoa.
 
Na hichi kichaa kinakupata sababu ya ndoa una upungufu wa madin ya ndoa mwilin kaolewe acha kukificha nyuma keypad
 
Na hichi kichaa kinakupata sababu ya ndoa una upungufu wa madin ya ndoa mwilin kaolewe acha kukificha nyuma keypad
Assumption juuu ya assumption.

Huna hata moja ambalo una uhakika nalo.

Unatapika uharisho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…