The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
"Na km amefariki ukaone kaburi lake"Baba wa watoto yupo hai au amefariki?
π π π
Ila JF bhana!!πππ
Mwanamke atakuwa alikua anafosi mazingira kumbe jamaa anamuwaza mankaMh, sasa watoto wawili kwa baba mmoja , means mmekuwa na bond kubwa sana na huyo jamaa, komaa nae akuweke ndani aisee.
Nipo bila Shaka umepataHabari,
Mimi ni mama wa watoto wawili nahitaji mwenza,
Umri miaka 28
Makazi dar
Watoto wawili baba yao mmoja
Mwembamba
Mweupe
Urefu wastani
Dini mkristo.
Ninaye muhitaji
Umri miaka 32 hadi 40
Asiwe mnene sana
Awe mkristo.
Karibu PM.
Mimi ni muislam nafikiri nimefeli hapo tuHabari,
Mimi ni mama wa watoto wawili nahitaji mwenza,
Umri miaka 28
Makazi dar
Watoto wawili baba yao mmoja
Mwembamba
Mweupe
Urefu wastani
Dini mkristo.
Ninaye muhitaji
Umri miaka 32 hadi 40
Asiwe mnene sana
Awe mkristo.
Karibu PM.
yaani 0ver 1.5 first halfIla JF bhana!!πππ
Kwa hiyo ni 2-0 dakika ya 28 π€£π€£π€£π€£π€£