Sinkala (JF Member) kuoa karibuni!

Status
Not open for further replies.
Project 2012 sio Fidel80

Kuoa nyie kazi wacha kabisa

Mkuu yaani bado nafikiria kama vp naweza nikasogeza mbele kabisa 2020 maana ukichelewa kurudi club mtu kanuna yaani we acha tu.
 
Mmmmhhh!!! ambao hamjaoa mmetukanwa na Dark City kwenye hii post yake, isomeni kwa makini

Hapana mkuu, sijatukana mtu. Nimejitahidi kutumia uungwana wangu kumshauri mdogo wetu. Nimepata wasi wasi baada ya kuona baadhi ya wazee wanataka kumtisha na kumjenga hofu kuwa huku kwenye ndoa hakukaliki. Nimejaribu kuwa kungwi wa bure kwa kumwambia kuwa wale tusiofanya majaribio tunatesa sana. Natamani naye aonje huo uhondo tunaopata. Ni kutokuwa mchoyo tu. Sijatukana mtu ndugu yangu. But in case kuna aliyeguswa, I a very sorry. Ila ni kweli tunafaidi!
 
Mkuu yaani bado nafikiria kama vp naweza nikasogeza mbele kabisa 2020 maana ukichelewa kurudi club mtu kanuna yaani we acha tu.

The opposite is also true! Ukiwahi kurudi kicheko, mpaka unapata desert ya usiku!🙄
 
Haa haa haaa! Nadhani kuna duration ambayo mkiishi pamoja (hadi kuzaa watoto) basi serikali inatambua kwamba hiyo ni ndoa halali. Kama wanasheria wamo humu watatufafanulia. Karibuni sana tujumuike!
 
hongera kaka!nitakupa company.can we just chat in pm?
 

Sikujua kama JF inaenda mbali kiasi hiki hadi kuchangia zawadi kwa members wake!
Dont tell me we have powers!!
Hongera sana Sinkala!
 
Haa haa haaa! Nadhani kuna duration ambayo mkiishi pamoja (hadi kuzaa watoto) basi serikali inatambua kwamba hiyo ni ndoa halali. Kama wanasheria wamo humu watatufafanulia. Karibuni sana tujumuike!


Napenda ndo za dizaini hii kwa kweli hakuna kupelekana kwa Mapriest na kujitesa na sherehe za usiku mmoja ambayo inakuachia damage ya mwaka mzima....

Hongera lakini!
 
Mkuu yaani bado nafikiria kama vp naweza nikasogeza mbele kabisa 2020 maana ukichelewa kurudi club mtu kanuna yaani we acha tu.

Fidel mmmmg uku mbali kaka unataka na wewe ukao bungeni kama hawa waheshimiwa wetu. 2012 is more suitable kaka, dont change please, ukioa wewe tu na mimi nakanyaga nyayo zako
 
Fidel mmmmg uku mbali kaka unataka na wewe ukao bungeni kama hawa waheshimiwa wetu. 2012 is more suitable kaka, dont change please, ukioa wewe tu na mimi nakanyaga nyayo zako

hahahaha mkuu naogopa mzee kutangaza hadharani jamani mm ndo hivyo naoa maanake watoto wakali wakali nitawamiss wakikuta nao tu mazee vidole tu mzee yataka moyo.
 
Napenda ndo za dizaini hii kwa kweli hakuna kupelekana kwa Mapriest na kujitesa na sherehe za usiku mmoja ambayo inakuachia damage ya mwaka mzima....

Hongera lakini!
Aisee kama mimi Masanilo harusi haipo kwenye mipango yangu kabisa, nitavuta kimy kimya, ndoa baadae, ila nasikia kuna mabinti wana presha hao, utafunga harusi tu taka husitake, ila njia rahisi ni kuweka mimba tu
 
hahahaha mkuu naogopa mzee kutangaza hadharani jamani mm ndo hivyo naoa maanake watoto wakali wakali nitawamiss wakikuta nao tu mazee vidole tu mzee yataka moyo.

ukitoka mitaa ya home tu, unatia pete ya ndoa mfukoni, unabaki kuwa bachelor, unaenda zako mabibo hostel au IFM unatangaza uchumba unachukua kitu kitamu kama asali ya nyuki wadogo, mida ya kurudi home unachukua pete yako unatia kwa kidole unarudi kwa mamsapu na tabasamu
 

Okey Mhe DC
tunashukuru kwa somo tamu
hata sie ambao hatujaoa tumefaudu atleast
 

hahahaha dah mkuu akiwa na software akikushtukia balaaa mzee.
 
ila njia rahisi ni kuweka mimba tu


Hii nimeipenda sana hata wale wazazi wanao kataa wakwe dawa yao ndo hiyo hiyo unavimbisha unapewa mzigo bure alafu harusi hulazimishwi.
 
hahahaha dah mkuu akiwa na software akikushtukia balaaa mzee.
Naomba msamaha tu tena kwa unyenyekevu mkubwa, wanapenda kuombwa msamaha hao wacha kabisa
 
Aisee kama mimi Masanilo harusi haipo kwenye mipango yangu kabisa, nitavuta kimy kimya, ndoa baadae, ila nasikia kuna mabinti wana presha hao, utafunga harusi tu taka husitake, ila njia rahisi ni kuweka mimba tu

Bwana ndo is a life term commitment nadhnai inatakiwa uwe makini sana kabla ya kujicomit kwa wrong person ambaye inabidi kuwa naye maisha yote kwa zuri na baya...mhhhh date mdada kwa miaka walau 15 mtakuwa na watoto walau wawili then unavuta jumla kimya kimya!
 
Naomba msamaha tu tena kwa unyenyekevu mkubwa, wanapenda kuombwa msamaha hao wacha kabisa

Kesho yake unamletea vito kama mkufu au pete ya Gold anazima fegi wewe unaendeleza libeneke.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…