Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

NORA zao la KAOLE SANAA GROUP akiwa na akina

dr cheni
biko
nyama yao
kibakuli
swebe
muhogo mchungu
pwagu

na wengineo
 
Okwi alipiga mzigo hapa dem akadai mshikaji ana mkono wa Sweta akasahau waganda ni kama ndugu zetu Wahaya wanaamini anaestahili kutahiliwa ni muislam tu....[emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haa! Okwi naye!
 
Idd Ligongo
 
Ila huyu sister alivurugika sana kipindi kile.. Kichaa sio kichaa.. Mara picha za uchi.. Tafrani!
 
Mambo yalikuwa safi sana, aliolewa na diwani wa kata gani sijui ila lilikuwa zungu la poda sijui na hali hii ya jiwe anafanya biashara gani, alikuwa na pesa haswa.
Anaitwa mzee ferej
 
Aisee! Kumbe walimfanyia mtima nyongo ee,
 
Daaah! Kweli maisha yamesogea..tulikuwa tunaanza J3 kwa kusoma gazeti la ijumaa wikienda,uwazi,Risasi,Alhamis Gazeti Amani,mwisho tunafunga na gazeti ijumaa,kweli Shigongo alituweza
Mzee umetisha sana.. Wiki nzima mtu unakula ubuyu tu! Siku nyingine yanatoka mawili.. Unasoma hili, huku unatamani lingine.. Ukilaza kesho yake unanunua na la jana..

Instagram shenzy kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…