Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Walimwengu walikwishaniambia kuwa demu wangu mimi hafai,mimi nikiwabishia nikawaona kuwa wao ndiyo hawafai,hivi sasa mi najuta sitaki demu sihitaji demu,nakuomba usije kwetu mamdogo utantia hasara,kila ukija mi naondoka,natokea mlango wa nyuma naeanda kwa kina rashid.
 
Wewe jamaa nakukubali sana, huwa upo deep comments zako kuanzia siasani hadi huku unyotani
[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes warembo wanaamuaga tu kuwabariki wahuni, hiyo wala haina question. Mi jinsi nilivyo naweza kuchukua mtoto mkali we ukabaki kuosha macho tu na tai yako shingoni.
........Zali la mentali....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…