REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Dah, yani nina ukiambiwa ule sahizi utaona watu wanazingua ila kalipokuwa on her 18-23 alikuwa kisu cha town!
Sometimes warembo wanaamuaga tu kuwabariki wahuni, hiyo wala haina question. Mi jinsi nilivyo naweza kuchukua mtoto mkali we ukabaki kuosha macho tu na tai yako shingoni.
Hahah nature..Juma Kassim Kiroboto, namkubali sana muhuni yule! I wish Bongo Records ingebaki kuwa juu mpaka sasa bila kubaniwa na clouds kusingekuwa na vinyimbo uchwara redioni!Nature anaishi maisha yake,haigizi, bongo mtu akiwa real akiishi Maisha yake bila kuigiza anaonekana mshamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaongea kama anataka kupigwa mda woteSauti ya nora ilikuwa inanifanya namuonea huruma bila sababu.
Ewaaaa....That is the guy!Wakati huo alikuwa anatoka na kidada fulani mitaa ya Isamilo karibu na alipokuwa anakaa RPC wa Mwanza nyuma ya Makongoro AIC
Anakwambia, "Nature mtu wa watu navoishi kibantu!"Kiroboto atakuwa alizidi usela ,sasa ukiwa msela sana hata paka hawezi kuishi nawewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Karen Peyton alikua balaa yule mtoto! Nakumbuka enzi hizo Java Sea Cliff piga sana misele.Dah umenikumbusha Raha P kasepa bongo kajua States anatoboa dah kakutana na balaa shule kaacha ada hana kakutana na Mniga kamtia mimba kumbe jamaa deals zake ni kuuza sembe kabebwa akatiwa gerezani .
Demu alivurugikiwa sana nusu awe chizi ila ana mdogo wake mmoja Caren Peyton katusumbua kitaa then akatimkia states
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliwataja wote, kina Faudhia sijui kina Foya yani dah! Kipindi watoto wa Obey, Masaki, City Centre, Upanga, K.Koo pamoja na watoto wa uswahilini kiwanja pekee ilikuwa Bills pale. Mademu wote wakali wa mjini utawakuta mle!Ukitaka kujua madem waliokuwa wanasumbua enzi hizo na sifa zao basi tafta wimbo wa FA mabinti
Sent using Jamii Forums mobile app
kum e zake kwa totozeee kwa mtibue lema hajakosea
Mbona huyu cheni hazeeki?Sinta
Nora
Nina
Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukua Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.
Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha
Dumelang
Unamzungumzia BIKO.Sinta
Nora
Nina
Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukua Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.
Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha
Dumelang
CHORUSUkitaka kujua madem waliokuwa wanasumbua enzi hizo na sifa zao basi tafta wimbo wa FA mabinti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee machache naye Kumbe alipitaga!
Huyu mzee katuzidi pesa mpaka kugegeda.
Ha ha huyo huyo kumbe jina lake ndio limebeba Jina la bahati nasibuUnamzungumzia BIKO.
Umenikumbusha mbali kiongozi, kuliwahi kuwa na mwanamke mkali kichizi pia enzi hizo, Nina nadhani alipotelea wapi huyu mrembo, nisamehe kiongozi kwa kwenda nje ya mada!