Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Hivi huyo Rah P ana mishe gani now?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nature mtoto wa uswazi alijikuta Pdiddy, then akaishia kulia kwenye nyimbo[emoji38][emoji38][emoji38]. BTW mi nilikuwa namkubali zaidi Norah wakati huo, mtoto anajua kudeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ we fisi mzee sahivi
 
Kweli maisha yametutenganisha. Enzi hizo umeme ukikatika ni mtaa mzima...ukirudi watu/watoto wanapiga shangweeee ""Huuuuuuoooioo""

Sasa hivi, unalala giza jirani ana umeme[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…