Weeee....siku hizi ana mishe gani?Mganga yule alimpiga juju Hanga'a tena alisomaga times school of journalism alishindwa Fanya hata mtihani!!!hana pesa ya kulipa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]ila atakuwa Mambo safi, kweli kuna siku nimemuona kinondoni mkwajuni ndani ya Prado jeusi na wanae!Huyo mshefa atakuwa bahili kweli ..Simu gani hiyo kampa mkewe ?? View attachment 1062773
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyo Rah P ana mishe gani now?Dah umenikumbusha Raha P kasepa bongo kajua States anatoboa dah kakutana na balaa shule kaacha ada hana kakutana na Mniga kamtia mimba kumbe jamaa deals zake ni kuuza sembe kabebwa akatiwa gerezani .
Demu alivurugikiwa sana nusu awe chizi ila ana mdogo wake mmoja Caren Peyton katusumbua kitaa then akatimkia states
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki nae kachoka?Delux pamechoka sana sasa hivi. Nilikutana na mmiliki wake familia ya wale Wahaya....dah hatari sana.
Sent using my Nokia Torch
Nora au Ray c?Huyu Norah miaka ya 2013 alikua anaishi kwenye gest hii nilishuhudia mimi mwenyewe maeneo ya sinza big bon kwenye ule mtaa una barabara inapita hadi kuja tokealezea na kituo cha daladala
Juma anaishi temeke, sinta kimaraJuma nature na sinta wanakaa wapi ?
Huyo mrembo alikuwa habari nyingine aisee, ilikua sahihi sana kumtamani!Huyu Demu "Nina" nilikuwa namtamani sana enzi hizo aisee
Enzi hizo uzuri wa mwanamke tunaangalia sura, sio sasa akili zimehamia chooniHuyo mrembo alikuwa habari nyingine aisee, ilikua sahihi sana kumtamani!
MwanaFA anatamba na mabinti damdam, watoto wakali wa mjini wote kwenye kideoEnzi hizo kuna akina D knob, akina John mjema anavuma na wachumba, mji ulikua tafrani sana
dahh ila nora ile ongea yake tuu lazima udinde mamaeh!! wakubwa wa enz hzo walifaid sanaNature mtoto wa uswazi alijikuta Pdiddy, then akaishia kulia kwenye nyimbo[emoji38][emoji38][emoji38]. BTW mi nilikuwa namkubali zaidi Norah wakati huo, mtoto anajua kudeka
Sent using Jamii Forums mobile app
"Inspecta sema basi unataka nini"- kwenye mtoto wa geti kali ya GangweMobbdahh ila nora ile ongea yake tuu lazima udinde mamaeh!! wakubwa wa enz hzo walifaid sana
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
aah kwn yule alikuwa nora??"Inspecta sema basi unataka nini"- kwenye mtoto wa geti kali ya GangweMobb
Sent using Jamii Forums mobile app
picha yake basi,wengne tumemsahauDah! yale macho yalikuwa ni noma kiongozi, hawa wadada wa bongo movie wa siku hizi bure kabisa.
Hiyo hapo mkuu, nakiri kuwa hii picha haikumbamba vyema, lakini bado unaweza ukayaona macho ukaelewa ninachokiongea!picha yake basi,wengne tumemsahau
Yule alikuwa Queen Darleen mkuu."Inspecta sema basi unataka nini"- kwenye mtoto wa geti kali ya GangweMobb
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ we fisi mzee sahiviDah mimi mipango yangu nilikuwa nafanyia pale twisheni ya pafekti visheni afu tunakutana bills jumapili ni ladies free, basi milupo ya sekondari na vyuo huikosi mule,cha ajabu tulikuwa tunabanana ukitoka nje nguo zinanuka jasho na sigara,nimekula sana totoz pala enzi za utineja.
Kweli maisha yametutenganisha. Enzi hizo umeme ukikatika ni mtaa mzima...ukirudi watu/watoto wanapiga shangweeee ""Huuuuuuoooioo""Aliwataja wote, kina Faudhia sijui kina Foya yani dah! Kipindi watoto wa Obey, Masaki, City Centre, Upanga, K.Koo pamoja na watoto wa uswahilini kiwanja pekee ilikuwa Bills pale. Mademu wote wakali wa mjini utawakuta mle!
Life will never be the same, maisha ya kileo yametutenganisha sana vijana!