Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Nasikia aliwahi kufuatwa na mmama fulani baada kugundua anatoka na mumble, na kumpa kipigo huku nature akishuhudia, na Nature mkaingiza kipande cha shairi ktk wimbo wake nanukuu nikishuhudia kipigo anachopigwa mwezi chuo kukuu mlimani.
 
Biko.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Nature huyu dem alimpenda sana,alipomzingua akamtungia nyimbo tatu za kumponda (Sitaki Demu na rmx yake,Inaniuma sana) .
 
Mzee machache alikuaga na mtoto mmoja mzuri wa kimasai,,

Huyo mtoto akaja kuondolewa na sinta. Sinta nae akaja kuondolewa na k nani cjui yule mrembo wa miss tz,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah watoto wa kizazi cha Luku hawawezi elewa hizo hustle😀😀😀
 
Hahaha alivaa nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu George Tyson akamuacha Amina Chifupa akaenda kwa Monalisa! Marehemu Meddy Mpakanjia akamuacha Monalisa akaenda kwa Amina Chifupa!
RIP George Tyson
RIP Meddy Mpakanjia
RIP Amina
Duuuuh Monalisa naona kama kuna "GRIDI" hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…