Watu mna lugha ngumu sana nilikuwa sijamwelewa Mzee machache kumbe ni .....Sintah bana..hadi kwa mzee Machache alipita?ila mzee naye kawapitia wa kumtosha,K-lyn ye ndo akajilioua kula lifetime pesa za mzee
Huyu nae ni wa kitambo tangu nyimbo za Dully na wengi hawakumtambua kama ni yeye.[emoji23][emoji23][emoji23]
Uwingi na umoja, then Machache =Watu mna lugha ngumu sana nilikuwa sijamwelewa Mzee machache kumbe ni .....
Duh shikamoo jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina black beauty hivi na jicho matata hatari. Nora ni mwingine kabisaNina ndio Nora?.. Yule White!?..
Nina black beauty hivi na jicho matata hatari. Nora ni mwingine kabisaNina ndio Nora?.. Yule White!?..
Aiseee...!!!CHORUS
Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!
Kuna kifua kama cha zay B
Kiuno kama cha Ray C na pozi Jay D na sauti kama Fina
Au labda ya aunt Ndina ipo njema matabasamu
Kama binti Maumba wa kino Msio nidhamu
Mtafanywa mpende ngono Hold on!
Kuna pozi za kimtoni kama Tausi Likokola
Unataka ni full bakora mabinti wangali wanang’ara
Warefu warembo kama twiga mithili ya Happy Magese
Midomo kama ya Shose
Utapenda uonekane yaani viwanjani ututese
Au binti maarufu utasema Aina anatosha?
Kama nnataka mwanya nafahamu wapi ntaupata
Mwite Aminata wa keita
Binti wa vigogo unamtafuta Mboni Mhita?
Mwili utakaokufanya upende love kama wa Mercy
Na macho yanayovuta kama ya Miriam wa Ikoa
Unaweza utangaze ndoa
Wengine mziki kama Shanice
Au kama connie stephans
Naiota rangi ya Caroline na lugha tanu kama ya Seven
Najua mnawaita masister Du! bendera hewani
Sometimes wavute widdy Mentally japo wazuri
Mithili ya Kibibi
Miondoko kama Faudhia
Au ungependa kithethe mithili ya Radhia
Watoto wa shule wassiwafanye mpagawe
Ilhali kuna wenye haiba kama Halima Bandawe
Mi kwa mabinti -nisahauliwe
CHORUS
Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!
[emoji838]
Mkuu na mimi baada tu ya kusoma maelezo ya jamaa nikakonect dot kama wewe.Duuuuh Monalisa naona kama kuna "GRIDI" hapa.
Hatari Faya Mkuu hiyo chain imemuunga kwenye GRIDI ya TAIFA,Mkongo Mkuu.Mkuu na mimi baada tu ya kusoma maelezo ya jamaa nikakonect dot kama wewe.
Nora aliye olewa na mganga
Oooh RIP John Mjema DMX wa BongoEnzi hizo kuna akina D knob, akina John mjema anavuma na wachumba, mji ulikua tafrani sana
Sinta
Nora
Nina
Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukua Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.
Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha
Dumelang
Kwenye inaniuma sana anadai ilimuuma sana alivyoona Sinta akipigwa denda kwenye dirisha la gari mpaka gari ikagoma kwendaaaaaaaa.
Ukitaka kujua madem waliokuwa wanasumbua enzi hizo na sifa zao basi tafta wimbo wa FA mabinti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua madem waliokuwa wanasumbua enzi hizo na sifa zao basi tafta wimbo wa FA mabinti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua madem waliokuwa wanasumbua enzi hizo na sifa zao basi tafta wimbo wa FA mabinti
Sent using Jamii Forums mobile app