Sintah Amchana Irene Uwoya Kiana 'If I were You I would Remain Single for A While'

Sintah Amchana Irene Uwoya Kiana 'If I were You I would Remain Single for A While'

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Blogger Sintah Amemchana Irene Uwoya baada ya Picha zake za Mahaba kusambaa Akiwa na Kiserengeti Boy cha THT.

Jisomee Alichosema Sintah,

Katika dawati letu hatusemi mengi zaidi ya kusema Irene, Irene, Irene? why

This is what we call jumping from the frying pan into the fire, if i were you (Irene) would remain single for a while.

Hivi bila kuonyesha mahaba hadharani ndio hupendwi vile?

Mmmmh au ndio tujue mwenzetu umezama katika dimbwi la mahaba sasa tukuwacheee.
 
akikua ataacha, urembo wa dada zetu ni wa muda mfupi sana, akifika 32 tu hataona salamu tena, muacheni atumie urembo wake kabla jua halijazama.
 
Bora angetulia na mumewe tu maana anahangaika tu
 
Ndo shida ya kuwapendea wanaume kisa pesa au wanakaa ulaya wakifulia mnawaona kama vidudu
 
akikua ataacha, urembo wa dada zetu ni wa muda mfupi sana, akifika 32 tu hataona salamu tena, muacheni atumie urembo wake kabla jua halijazama.

Ni kweli kabisa akikuwa sio kiumri bali kiakili ataacha mambo haya . Hata SINTA alipokuwa mdogo alikuwa akisemwa sana magazetini lakini sasa baada ya kukuwa ameacha na anatoa ushauri wa HEKIMA kwa IRENE
 
acha aoneshe mbona sinta enzi zake nae alikuwa hivo tu...
 
Irene achambwe na ntu mwingine ila sio sintah maana hawajapishana kitabia, sanasana wataanza kutukanana
 
Sintah tena mama wa bikra au mwingine au huyu wa Juma nature staki demu, kama ni huyu aufyate kabisaaa maana naye alitanua mwanza arusha mbeya
 
Si yule mcheza mpira wa Rwanda na jina nishamsahau

ok kumbe ndikumana katauti? halafu huyu irene si ndio alitamba sana na picha ya kuvutia akiwa kwenye pose zuri sana? hivi mademu wa kibongo ndio wako so cheap namna hii na wanachuja haraka hivi?

yale maisha ya kule Cyprus na ndikumana ndio amekuja so cheap like this? kweli wacha watu wauze sembe bongo ukipauka hata kuwadi kama Steve nyerere utaambiwa anambanduwa mkeo.

so sad maisha ya soka ni mafupi sana kama hujawekeza lazima uje kudharirishwa namna hii halafu sasa jamaa ni foreigner, inauma sana.
 
UWOYANANDIKUNACRISHIII.jpg
ndikumana.JPG
 
Huyo malaya uwoya ukiwa na sent zako za machungwa tu unang'oa.
 
Huyo malaya uwoya ukiwa na sent zako za machungwa tu unang'oa.

Kweli mkuu, ukienda kichwa kichwa anachukua nyingi, ukimtumia Steve Nyerere ila umeanzie mbali, offer za bia na nyama, unamng'oa kisela, atapigwa fix mpaka atakupa bila masharti kwa bei Powa..
 
Back
Top Bottom