Sintaweza kuendelea kutumia mtandao wa tiGO

Sintaweza kuendelea kutumia mtandao wa tiGO

Chairman Lee

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,353
Reaction score
1,492
TANGAZO

Nasikitika sana kuwaharifu ndugu zangu jamaa na marafiki wote kuwa sintaweza kuendelea kutumia mtandao wa TIGO hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimevumilia sana ila nimeshindwa na udhalishaji huu hasa pale unapo mpigia mtu unapata ujumbe huu ''' JAZA U JAZWE"" kwa kweli mm huwa sipendi hichi kiujumbe Ahsanteni [emoji120]
 
kwani unapoambiwa hivo unafkiria nn? tuanze kwnz na ww mwenyw whats an ur mind about that words
 
TANGAZO

Nasikitika sana kuwaharifu ndugu zangu jamaa na marafiki wote kuwa sintaweza kuendelea kutumia mtandao wa TIGO hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimevumilia sana ila nimeshindwa na udhalishaji huu hasa pale unapo mpigia mtu unapata ujumbe huu ''' JAZA U JAZWE"" kwa kweli mm huwa sipendi hichi kiujumbe Ahsanteni [emoji120]
Usikute umeshaongezewa MBs za bure ndio hizi unaingia nazo JF
 
Back
Top Bottom