Sintofahamu Ajira za Walimu

Sintofahamu Ajira za Walimu

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Habari za Furahi Day!!

Baada ya serikali kutoa kibali cha ajira za walimu takribani 11,015, kupitia ajira portal dirisha la maombi lilifunguliwa na maombi yakafanywa. Baada ya maombi kupitia tovuti ya ajira portal walitangaza usaili wa walioitwa utaanza tar 23/10/2024 hadi 19/11/2024.

Cha kushangaza wamesitisha huo usaili bila kutoa taarifa kamili kwanini wamesitisha na usaili utafanywa lini au wataajiri kwa utaratibu upi?

Tujikumbushe tu walioitwa kwenye usaini ni zaidi ya 170,000, Wanaohitajika ni 11,015

Je, wakifaulu usaili watu 90,000, kwa rate ya kuajiri 10,000. Inamaana Database watakua na list ya kuajiri watu kwa miaka 9 mbele? Je hao wanaoendelea kusomea ualimu kuna tija?

Mpwayungu Village nisaidie hapo

Najiuliza pia huu usaili ulikua unafanyikaje kwa hiyo idadi?

IMG-20241018-WA0000.jpg
FB_IMG_1729225511649.jpg
FB_IMG_1729225525900.jpg
 
Sijui nani alitoa wazo la kuwa ajira za afya na elimu ziwe chini ya utumishi, yaani imekuwa ni changamoto Kubwa sana na inaleta complications na unfairness nyingi ambazo hazikwepo wakati ajira ziko chini ya Tamisemi na wizara husika Yani afya na elimu.

Unaweka interview Kwa watu kama 170k kwanza unawaletea gharama ambazo zitawarudisha nyuma pia bajeti ya ku run hizo interview mbona ingefanya mambo mengne mengi yenye tija Kwa jamii then hii burden yote magufuli ndo kasababisha sababu haikuwa anatoa ajira ktk miaka yake.

Solution ni jukumu lirudi Tamisemi kama zamani maana at least waliliweza hili. Utawafanyishaje interview aliyemaliza 2015 vs 2023. Sio fair kabisa.
 
PSRS mwaka huu wamejizolea umaarufu. Hizi ndio takwimu Walioitwa kwenye usaili wa ualimu/ Nafasi zinazohitajika:

WANAOHITAJIKA KWA KILA KADA YA UALIMU/WALIOITWA KWENYE USAILI
1. Daraja la IIIA (Awali)= 20/2024
2. IIIA = 2851/15,640
3. IIIA (Maalum)=13/225

Daraja la IIIB
1. Geography= 175/2878
2. Kemia = 488/3551
3. Bios = 505/3173
4. Tehama = 59/399
5. Awali = 15/846
6. Kiswahili = 142/2400
7. Msingi = 464/2351
8. Civics = 59/ 419
9. History = 152/2269
10. Physics = 740/1513
11. B/maths = 663/1919
12. English = 390/1548
13. Literature = 65/36
14. French = 2/4
15. Bookping =24/75
16. Agriculture = 29/215
17. Commerce = 23/79
18. Maalum = 7/13
19. Food & Nutrition = 2/34
20. Textile = 2/ 4

Daraja la IIIC
1. Kiswahili = 184/28,202
2. Geography = 310/26,770
3. History = 211/21,407
4. Literature = 64/7,489
5. English = 412/15,225
6. Bios = 515/11,837
7. Economics = 16/2,698
8. Tehama = 33/1160
9. Agriculture = 31/546
10. Msingi = 37/975
11. Kemia = 544/9891
12. Maalum = 3/ 1011
13. Civics = 46/1622
14. Physics = 633/ 865
15. B/maths = 662/2033
16. Bookping = 19/589
17. French = 3/77
18. Commerce = 22/845
19. Lab Technician = 380/1197

Generally
Wanaoitajika 11,015
Walioitwa usahili 176,054
 
Tulieni subirini muongozo huku mkiendelea kujiandaa na interview siku zote mwanzo mgumu utumishi wanaandaa vizuri jeshi la mkando

NB hakikisha unapata alama zote 💯 ili uweze kwenda hatua inayofuata mwalimu mwenzangu la si hivyo tunakuacha
 
Screenshot_20241017_233046_Samsung Notes.jpg

Hiyo hoja yenu eti mpo wengi mlioomba alafu nafasi chache haina mashiko....
Check sample apo..psrs mnawajua vzr
 
Sijui nani alitoa wazo la kuwa ajira za afya na elimu ziwe chini ya utumishi, yaani imekuwa ni changamoto Kubwa sana na inaleta complications na unfairness nyingi ambazo hazikwepo wakati ajira ziko chini ya Tamisemi na wizara husika Yani afya na elimu.

Unaweka interview Kwa watu kama 170k kwanza unawaletea gharama ambazo zitawarudisha nyuma pia bajeti ya ku run hizo interview mbona ingefanya mambo mengne mengi yenye tija Kwa jamii then hii burden yote magufuli ndo kasababisha sababu haikuwa anatoa ajira ktk miaka yake.

Solution ni jukumu lirudi Tamisemi kama zamani maana at least waliliweza hili. Utawafanyishaje interview aliyemaliza 2015 vs 2023. Sio fair kabisa.
Uko sahihi sana mkuu. Makosa yalifanyika kwa miaka ya nyuma iliokosa ajira. Lile gap kulifidia ni sawa na haiwezekani
 
View attachment 3128529
Hiyo hoja yenu eti mpo wengi mlioomba alafu nafasi chache haina mashiko....
Check sample apo..psrs mnawajua vzr
Kwa mantiki hii, angalia idadi ya walioomba
Unaweza kukuta hii walioomba ni watu 10,000.
Linganisha na watu 170,000. Wakitaka waliopata 100/100 wapite, je wakipata mia ya mia watu 80,000. Wataajirije?
 
PSRS mwaka huu wamejizolea umaarufu. Hizi ndio takwimu Walioitwa kwenye usaili wa ualimu/ Nafasi zinazohitajika:

WANAOHITAJIKA KWA KILA KADA YA UALIMU/WALIOITWA KWENYE USAILI
1. Daraja la IIIA (Awali)= 20/2024
2. IIIA = 2851/15,640
3. IIIA (Maalum)=13/225

Daraja la IIIB
1. Geography= 175/2878
2. Kemia = 488/3551
3. Bios = 505/3173
4. Tehama = 59/399
5. Awali = 15/846
6. Kiswahili = 142/2400
7. Msingi = 464/2351
8. Civics = 59/ 419
9. History = 152/2269
10. Physics = 740/1513
11. B/maths = 663/1919
12. English = 390/1548
13. Literature = 65/36
14. French = 2/4
15. Bookping =24/75
16. Agriculture = 29/215
17. Commerce = 23/79
18. Maalum = 7/13
19. Food & Nutrition = 2/34
20. Textile = 2/ 4

Daraja la IIIC
1. Kiswahili = 184/28,202
2. Geography = 310/26,770
3. History = 211/21,407
4. Literature = 64/7,489
5. English = 412/15,225
6. Bios = 515/11,837
7. Economics = 16/2,698
8. Tehama = 33/1160
9. Agriculture = 31/546
10. Msingi = 37/975
11. Kemia = 544/9891
12. Maalum = 3/ 1011
13. Civics = 46/1622
14. Physics = 633/ 865
15. B/maths = 662/2033
16. Bookping = 19/589
17. French = 3/77
18. Commerce = 22/845
19. Lab Technician = 380/1197

Generally
Wanaoitajika 11,015
Walioitwa usahili 176,054
Unbelievable. Criteria gan utatumia upate watu 11,015?
 
Kwa mantiki hii, angalia idadi ya walioomba
Unaweza kukuta hii walioomba ni watu 10,000.
Linganisha na watu 170,000. Wakitaka waliopata 100/100 wapite, je wakipata mia ya mia watu 80,000. Wataajirije?
Written inakazwa wanatoka wachache
oral pia wanapata wachache
kuna watu hawana ID apo na wengine hawana vyeti OG...so inawezekana tu
 
Kwa mantiki hii, angalia idadi ya walioomba
Unaweza kukuta hii walioomba ni watu 10,000.
Linganisha na watu 170,000. Wakitaka waliopata 100/100 wapite, je wakipata mia ya mia watu 80,000. Wataajirije?
Hicho kitu hakiwezekani mkuu!! Hili swala la utumishi mimi nalipongeza asilmia 100%
 
Sijui nani alitoa wazo la kuwa ajira za afya na elimu ziwe chini ya utumishi, yaani imekuwa ni changamoto Kubwa sana na inaleta complications na unfairness nyingi ambazo hazikwepo wakati ajira ziko chini ya Tamisemi na wizara husika Yani afya na elimu.

Unaweka interview Kwa watu kama 170k kwanza unawaletea gharama ambazo zitawarudisha nyuma pia bajeti ya ku run hizo interview mbona ingefanya mambo mengne mengi yenye tija Kwa jamii then hii burden yote magufuli ndo kasababisha sababu haikuwa anatoa ajira ktk miaka yake.

Solution ni jukumu lirudi Tamisemi kama zamani maana at least waliliweza hili. Utawafanyishaje interview aliyemaliza 2015 vs 2023. Sio fair kabisa.
Mimi siungani na wewe! Acha utumishi wafanye kazi yao! Kwa idadi hiyo usaili ni lazima hamna namna mkuu!! Kama upo compentent wala hupaswi kuogopa usaili!
 
Ukurupukaji tu, wanatumia gharama kubwa kulipana per diem ufisadi na rushwa tu,

Zamani Tamisemi ilikua mchakato mzima miezi miwili tu watu wanaingia kazini,

Lakini utumishi zaidi ya miezi sita na hakuna lolote la maana waliloishafanya

Upumbavu tu
Sio kila kitu cha kubeza, swala hili utumishi wanapaswa kupongeza! Nyie mnaolalamika ndo wale mnaopitisha vimemo pale tamisemi, saivi huo ujinga hakuna subiri ukakandwe na kama ulikariri ndo imekula kwako
 
Habari za Furahi Day!!

Baada ya serikali kutoa kibali cha ajira za walimu takribani 11,015, kupitia ajira portal dirisha la maombi lilifunguliwa na maombi yakafanywa. Baada ya maombi kupitia tovuti ya ajira portal walitangaza usaili wa walioitwa utaanza tar 23/10/2024 hadi 19/11/2024.

Cha kushangaza wamesitisha huo usaili bila kutoa taarifa kamili kwanini wamesitisha na usaili utafanywa lini au wataajiri kwa utaratibu upi?

Tujikumbushe tu walioitwa kwenye usaini ni zaidi ya 170,000, Wanaohitajika ni 11,015

Je, wakifaulu usaili watu 90,000, kwa rate ya kuajiri 10,000. Inamaana Database watakua na list ya kuajiri watu kwa miaka 9 mbele? Je hao wanaoendelea kusomea ualimu kuna tija?

Mpwayungu Village nisaidie hapo

Najiuliza pia huu usaili ulikua unafanyikaje kwa hiyo idadi?

View attachment 3128377View attachment 3128378View attachment 3128379
Wewe kafanye usaili swala la kufaulu wengi au wachache sio lako! Ni la utumishi nyie walimu mna shida gani jamani! Nyie si makada wa ccm subiri tupate watu compentent ambao sio rahisi kudanganywa na vihela vya ccm kipindi cha uchaguzi!
 
Mimi siungani na wewe! Acha utumishi wafanye kazi yao! Kwa idadi hiyo usaili ni lazima hamna namna mkuu!! Kama upo compentent wala hupaswi kuogopa usaili!
Usaili ni mzuri, sema nachozungumzia hii idadi mbona kubwa sana. Kama competent bas watapatikana maelfu ya watu.
Usaili niliowahi kuufanya tukiwa wengi ilikua buku na ushee. Watu laki naa🤷
 
Wewe kafanye usaili swala la kufaulu wengi au wachache sio lako! Ni la utumishi nyie walimu mna shida gani jamani! Nyie si makada wa ccm subiri tupate watu compentent ambao sio rahisi kudanganywa na vihela vya ccm kipindi cha uchaguzi!
Kumbe waalimu ni kijani??🤣
 
Back
Top Bottom