SoC02 Sintofahamu ya vijana juu ya upatikanaji wa maarifa na taarifa sahihi

SoC02 Sintofahamu ya vijana juu ya upatikanaji wa maarifa na taarifa sahihi

Stories of Change - 2022 Competition
Joined
Aug 25, 2022
Posts
42
Reaction score
71
Katika ulimwengu wenye takribani ya watu zaidi ya bilioni 7, watu wenye umri chini ya miaka thelathini (30) wanadhaniwa kuwa ni zaidi ya 50% duniani kote. Na katika hali ya kawaida kundi hili limejumuikwa na vijana pamoja na watoto wadogo.

Takwimu kutoka Benki ya dunia (WB), Shirika la Ajira Ulimwenguni (ILO) zinaonyesha kuwa katika kundi hilo la watu wenye umri chini ya miaka 30, zaidi ya 34% wapo shule za awali na za msingi, 20% wapo shule za sekondari, vyuo vikuu pamoja na shule za ufundi. Huku ikidhaniwa ya kuwa takribani 17% na zaidi wapo katika ajira rasmi na zisizo rasmi.

Takribani 30% za watu wenye umri chini ya miaka 30 zilizobaki zimejumuishwa kwenye makundi kama vile wanajeshi, wafungwa, vijana wa mtaani pamoja na watu wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi.

Takwimu hizo zinazoonesha jinsi gani kundi hili tulivyogawanyika kwenye mafungu tofauti tofauti ulimwenguni kote. Ningependa kuizungumzia zaidi nchi yetu pendwa ya Tanzania, ambapo hivi sasa kila mwaka katika ngazi ya vyuo vinavyotambulika kuwa ndio ngazi muhimu ya kumuimarisha kijana yoyote kabla hajaingia kwenye swala zima la utafutaji kupitia taaluma yake vinatoa maelfu ya wahitimu ambao hujipigia hesabu za kuingia kwenye soko la ajira kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Takwimu za mwaka 2020 kutoka Ofisi ya Takwimu za Taifa na ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 314,057 wameajiriwa kupitia miradi ya maendeleo ya serikali kama vile ujenzi, mikopo ya halmashauri pamoja na ajira rasmi ya moja kwa moja. Inasadikika idadi hiyo imeongezeka kidogo hadi kufikia mwaka huu 2022 serikali imetengeneza ajira 500,000 kupitia miradi yake pamoja na waajiriwa rasmi. Watu 280,941 kama ilivyoainishwa kwenye mchoro ufuatao umetoka kwenye sekta binafsi.

1662739872443.jpeg

Chanzo: Ofisi ya Takwimu za Taifa (NBS)

Katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku 50% na zaidi ikiwa ni vijana, inaonesha jinsi gani asilimia kubwa ya kundi hili lipo mtaani katika kufanya harakati tofauti tofauti ili kuweka mkono kinywani.

Ningependa kuchukua nafasi hii kupitia waraka huu, mimi kama kijana wa Kitanzania kuwasihi vijana wenzangu wa Kitanzania ya kuwa, tatizo hili si geni sana nchini na ulimwenguni kote. Kijana mwenye nia ya kutaka kupiga hatua, anaweza akakosa ajira lakini hawezi kukosa kazi ya kufanya. Ningependa kutolea mfano, wa nchi ya wenzetu China, si kwasababu ni nchi iliyoendelea; La Hasha, natoa mfano huu kwasababu ni nchi moja wapo yenye watu wengi zaidi ulimwenguni (Bilioni 1.4+). Wachina zaidi ya milioni 600 wana umri chini ya miaka 30; watu milioni 200 tu ndio walioajiriwa kwenye makampuni binafsi pamoja na serikali kuu. Hebu tujiulize, je hao milioni 400 wapo wapi na wanafanya nini?

Sijasema kuwa hawalalamiki kwasababu ya kukosa ajira, wanaweza wakawa wanalalamika lakini ni watu wenye kujishughulisha kila kukicha. China ni miongoni mwa nchi zinazoaminika kuwa na bidhaa zenye viwango vya juu mno, lakini hawakuishia hapo, kupitia changamoto hizi hizi za ajira, vijana wao wamebuni namna ya kukidhi masoko tofauti tofauti ulimwenguni kulingana na uhitaji pamoja na uwezo wa wateja wa bidhaa hizo. Mfano watu hawa wanaweza kutengeneza simu za Milioni 3 na zaidi kwa ajili ya soko la wenye nazo, pia wanaweza kutengeneza simu ya elfu 15 hadi 20 kwa ajili ya watu wa kada ya chini.

Watu hawa hawakuishia kufundishwa vitu darasani tu kwa ajili ya kuhitimu na kupata vyeti, bali watu hawa walijikita kwenye kupata maarifa na taarifa sahihi ili kujikwamua, kwasababu changamoto yao ya ajira haijaanza leo wala jana.

Sisi tumekuwa wepesi kutumia mitandao hii kuangalia vitu tofauti ambapo si vibaya hasa kwenye upande wa burudani kama vile michezo, muziki, tamthilia n.k. Wapo Watanzania wanaotumia mitandao hii hii vizuri zaidi, katika kujifunza taaluma mbalimbali, na kuchangamkia fursa zenye malipo ndani yake. Watu hawa tunapowaona kwenye mitandao ya kijamii wakifanya mambo makubwa, tunaanza kuishia kuwakejeli, kuwatukana na kusema kuwa wanaunganishiwa na wakubwa, na maneno mengine mengi.

Sitaki kusema kuwa hayo mambo hayapo, lakini nataka kumaanisha ya kwamba, tusipende kuwa watu wa lawama bali tutafute namna ya kupata maarifa na taarifa sahihi. Mitandao imejaa fursa kedekede, ni namna tu ya kujua zinapopatikana na namna ya kuziendea.

Wenzetu wamejitengenezea njia nzuri ya kujitafutia vipato hata kwa ujira mdogo lakini wamekuwa si watu wa kulalamika tena, bali wamekuwa watu wa kugeuza changamoto kuwa fursa siku zote. Leo hii, ukiwauliza hata vijana wa Kitanzania 100 kama wanaifahamu sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inazungumzia nini, nina uhakika zaidi ya 75% watakuwa hawana majibu sahihi. Hata kufahamu ya kwamba sera hiyo imeshapitwa na wakati na yapaswa kuboreshwa au kubadilishwa, sababu imeshakaa zaidi ya miaka 10, wengi wao hawawezi kufahamu.

Changamoto ya kufanya jambo lolote bila maarifa ya kutosha na taarifa sahihi kumewaingiza vijana wengi matatizoni. Unaweza kutaka kufanya jambo jema kama mwenzako aliyekutangulia na kufanikiwa kupitia jambo hilo, lakini ukaona mambo hayakuendei kama ulivyotarajia, ni kwasababu ya kutowekeza muda wa kutosha kwenye maarifa na taarifa sahihi.

Mtu yeyote mwenye maarifa, hutafuta taarifa sahihi kabla ya kufanya jambo lolote la msingi, hivi ndivyo wawekezaji, wajasiriamali wakubwa au mtu yeyote makini hufanya. Nawasihi vijana wenzangu, tujikite kwenye kutafuta maarifa na taarifa sahihi kwanza, hii itatufanya tupunguze lawama kila kukicha, pia tutakuwa watu wa kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kutukwamua kimaisha.

Nakabidhi,

Andrew Ikingura.
 

Attachments

  • TAKWIMU.JPG
    TAKWIMU.JPG
    13.8 KB · Views: 18
Upvote 23
Taarifa na maarifa sahihi chanzo kikuu cha kuwa na utashi na maamuzi sahihi katika machaguo ambayo unafanya

Hongera sana una content ya kipekee huwa sikomemti ila hii imenigusa Upo vizuri sana; congrats brother 👊🏾
 
Hongera kwa kazi nzuri Andrew. Kuandika ulichoandika bila shaka ulitumia maarifa na ulijitoa kufanya research ili kuja na kazi hii. Nakupongeza kwa jitihada zako👏🏾
 
Katika ulimwengu wenye takribani ya watu zaidi ya bilioni 7, watu wenye umri chini ya miaka thelathini (30) wanadhaniwa kuwa ni zaidi ya 50% duniani kote. Na katika hali ya kawaida kundi hili limejumuikwa na vijana pamoja na watoto wadogo.

Takwimu kutoka Benki ya dunia (WB), Shirika la Ajira Ulimwenguni (ILO) zinaonyesha kuwa katika kundi hilo la watu wenye umri chini ya miaka 30, zaidi ya 34% wapo shule za awali na za msingi, 20% wapo shule za sekondari, vyuo vikuu pamoja na shule za ufundi. Huku ikidhaniwa ya kuwa takribani 17% na zaidi wapo katika ajira rasmi na zisizo rasmi.

Takribani 30% za watu wenye umri chini ya miaka 30 zilizobaki zimejumuishwa kwenye makundi kama vile wanajeshi, wafungwa, vijana wa mtaani pamoja na watu wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi.

Takwimu hizo zinazoonesha jinsi gani kundi hili tulivyogawanyika kwenye mafungu tofauti tofauti ulimwenguni kote. Ningependa kuizungumzia zaidi nchi yetu pendwa ya Tanzania, ambapo hivi sasa kila mwaka katika ngazi ya vyuo vinavyotambulika kuwa ndio ngazi muhimu ya kumuimarisha kijana yoyote kabla hajaingia kwenye swala zima la utafutaji kupitia taaluma yake vinatoa maelfu ya wahitimu ambao hujipigia hesabu za kuingia kwenye soko la ajira kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Takwimu za mwaka 2020 kutoka Ofisi ya Takwimu za Taifa na ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 314,057 wameajiriwa kupitia miradi ya maendeleo ya serikali kama vile ujenzi, mikopo ya halmashauri pamoja na ajira rasmi ya moja kwa moja. Inasadikika idadi hiyo imeongezeka kidogo hadi kufikia mwaka huu 2022 serikali imetengeneza ajira 500,000 kupitia miradi yake pamoja na waajiriwa rasmi. Watu 280,941 kama ilivyoainishwa kwenye mchoro ufuatao umetoka kwenye sekta binafsi.

View attachment 2351656
Chanzo: Ofisi ya Takwimu za Taifa (NBS)

Katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku 50% na zaidi ikiwa ni vijana, inaonesha jinsi gani asilimia kubwa ya kundi hili lipo mtaani katika kufanya harakati tofauti tofauti ili kuweka mkono kinywani.

Ningependa kuchukua nafasi hii kupitia waraka huu, mimi kama kijana wa Kitanzania kuwasihi vijana wenzangu wa Kitanzania ya kuwa, tatizo hili si geni sana nchini na ulimwenguni kote. Kijana mwenye nia ya kutaka kupiga hatua, anaweza akakosa ajira lakini hawezi kukosa kazi ya kufanya. Ningependa kutolea mfano, wa nchi ya wenzetu China, si kwasababu ni nchi iliyoendelea; La Hasha, natoa mfano huu kwasababu ni nchi moja wapo yenye watu wengi zaidi ulimwenguni (Bilioni 1.4+). Wachina zaidi ya milioni 600 wana umri chini ya miaka 30; watu milioni 200 tu ndio walioajiriwa kwenye makampuni binafsi pamoja na serikali kuu. Hebu tujiulize, je hao milioni 400 wapo wapi na wanafanya nini?

Sijasema kuwa hawalalamiki kwasababu ya kukosa ajira, wanaweza wakawa wanalalamika lakini ni watu wenye kujishughulisha kila kukicha. China ni miongoni mwa nchi zinazoaminika kuwa na bidhaa zenye viwango vya juu mno, lakini hawakuishia hapo, kupitia changamoto hizi hizi za ajira, vijana wao wamebuni namna ya kukidhi masoko tofauti tofauti ulimwenguni kulingana na uhitaji pamoja na uwezo wa wateja wa bidhaa hizo. Mfano watu hawa wanaweza kutengeneza simu za Milioni 3 na zaidi kwa ajili ya soko la wenye nazo, pia wanaweza kutengeneza simu ya elfu 15 hadi 20 kwa ajili ya watu wa kada ya chini.

Watu hawa hawakuishia kufundishwa vitu darasani tu kwa ajili ya kuhitimu na kupata vyeti, bali watu hawa walijikita kwenye kupata maarifa na taarifa sahihi ili kujikwamua, kwasababu changamoto yao ya ajira haijaanza leo wala jana.

Sisi tumekuwa wepesi kutumia mitandao hii kuangalia vitu tofauti ambapo si vibaya hasa kwenye upande wa burudani kama vile michezo, muziki, tamthilia n.k. Wapo Watanzania wanaotumia mitandao hii hii vizuri zaidi, katika kujifunza taaluma mbalimbali, na kuchangamkia fursa zenye malipo ndani yake. Watu hawa tunapowaona kwenye mitandao ya kijamii wakifanya mambo makubwa, tunaanza kuishia kuwakejeli, kuwatukana na kusema kuwa wanaunganishiwa na wakubwa, na maneno mengine mengi.

Sitaki kusema kuwa hayo mambo hayapo, lakini nataka kumaanisha ya kwamba, tusipende kuwa watu wa lawama bali tutafute namna ya kupata maarifa na taarifa sahihi. Mitandao imejaa fursa kedekede, ni namna tu ya kujua zinapopatikana na namna ya kuziendea.

Wenzetu wamejitengenezea njia nzuri ya kujitafutia vipato hata kwa ujira mdogo lakini wamekuwa si watu wa kulalamika tena, bali wamekuwa watu wa kugeuza changamoto kuwa fursa siku zote. Leo hii, ukiwauliza hata vijana wa Kitanzania 100 kama wanaifahamu sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inazungumzia nini, nina uhakika zaidi ya 75% watakuwa hawana majibu sahihi. Hata kufahamu ya kwamba sera hiyo imeshapitwa na wakati na yapaswa kuboreshwa au kubadilishwa, sababu imeshakaa zaidi ya miaka 10, wengi wao hawawezi kufahamu.

Changamoto ya kufanya jambo lolote bila maarifa ya kutosha na taarifa sahihi kumewaingiza vijana wengi matatizoni. Unaweza kutaka kufanya jambo jema kama mwenzako aliyekutangulia na kufanikiwa kupitia jambo hilo, lakini ukaona mambo hayakuendei kama ulivyotarajia, ni kwasababu ya kutowekeza muda wa kutosha kwenye maarifa na taarifa sahihi.

Mtu yeyote mwenye maarifa, hutafuta taarifa sahihi kabla ya kufanya jambo lolote la msingi, hivi ndivyo wawekezaji, wajasiriamali wakubwa au mtu yeyote makini hufanya. Nawasihi vijana wenzangu, tujikite kwenye kutafuta maarifa na taarifa sahihi kwanza, hii itatufanya tupunguze lawama kila kukicha, pia tutakuwa watu wa kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kutukwamua kimaisha.

Nakabidhi,

Andrew Ikingura.
Hii yote iko applicable Kwa nchi zenye uongozi na mifumo ya kueleweka ,si nchi kama Tanzania hii
 
Katika ulimwengu wenye takribani ya watu zaidi ya bilioni 7, watu wenye umri chini ya miaka thelathini (30) wanadhaniwa kuwa ni zaidi ya 50% duniani kote. Na katika hali ya kawaida kundi hili limejumuikwa na vijana pamoja na watoto wadogo.

Takwimu kutoka Benki ya dunia (WB), Shirika la Ajira Ulimwenguni (ILO) zinaonyesha kuwa katika kundi hilo la watu wenye umri chini ya miaka 30, zaidi ya 34% wapo shule za awali na za msingi, 20% wapo shule za sekondari, vyuo vikuu pamoja na shule za ufundi. Huku ikidhaniwa ya kuwa takribani 17% na zaidi wapo katika ajira rasmi na zisizo rasmi.

Takribani 30% za watu wenye umri chini ya miaka 30 zilizobaki zimejumuishwa kwenye makundi kama vile wanajeshi, wafungwa, vijana wa mtaani pamoja na watu wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi.

Takwimu hizo zinazoonesha jinsi gani kundi hili tulivyogawanyika kwenye mafungu tofauti tofauti ulimwenguni kote. Ningependa kuizungumzia zaidi nchi yetu pendwa ya Tanzania, ambapo hivi sasa kila mwaka katika ngazi ya vyuo vinavyotambulika kuwa ndio ngazi muhimu ya kumuimarisha kijana yoyote kabla hajaingia kwenye swala zima la utafutaji kupitia taaluma yake vinatoa maelfu ya wahitimu ambao hujipigia hesabu za kuingia kwenye soko la ajira kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Takwimu za mwaka 2020 kutoka Ofisi ya Takwimu za Taifa na ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 314,057 wameajiriwa kupitia miradi ya maendeleo ya serikali kama vile ujenzi, mikopo ya halmashauri pamoja na ajira rasmi ya moja kwa moja. Inasadikika idadi hiyo imeongezeka kidogo hadi kufikia mwaka huu 2022 serikali imetengeneza ajira 500,000 kupitia miradi yake pamoja na waajiriwa rasmi. Watu 280,941 kama ilivyoainishwa kwenye mchoro ufuatao umetoka kwenye sekta binafsi.

View attachment 2351656
Chanzo: Ofisi ya Takwimu za Taifa (NBS)

Katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku 50% na zaidi ikiwa ni vijana, inaonesha jinsi gani asilimia kubwa ya kundi hili lipo mtaani katika kufanya harakati tofauti tofauti ili kuweka mkono kinywani.

Ningependa kuchukua nafasi hii kupitia waraka huu, mimi kama kijana wa Kitanzania kuwasihi vijana wenzangu wa Kitanzania ya kuwa, tatizo hili si geni sana nchini na ulimwenguni kote. Kijana mwenye nia ya kutaka kupiga hatua, anaweza akakosa ajira lakini hawezi kukosa kazi ya kufanya. Ningependa kutolea mfano, wa nchi ya wenzetu China, si kwasababu ni nchi iliyoendelea; La Hasha, natoa mfano huu kwasababu ni nchi moja wapo yenye watu wengi zaidi ulimwenguni (Bilioni 1.4+). Wachina zaidi ya milioni 600 wana umri chini ya miaka 30; watu milioni 200 tu ndio walioajiriwa kwenye makampuni binafsi pamoja na serikali kuu. Hebu tujiulize, je hao milioni 400 wapo wapi na wanafanya nini?

Sijasema kuwa hawalalamiki kwasababu ya kukosa ajira, wanaweza wakawa wanalalamika lakini ni watu wenye kujishughulisha kila kukicha. China ni miongoni mwa nchi zinazoaminika kuwa na bidhaa zenye viwango vya juu mno, lakini hawakuishia hapo, kupitia changamoto hizi hizi za ajira, vijana wao wamebuni namna ya kukidhi masoko tofauti tofauti ulimwenguni kulingana na uhitaji pamoja na uwezo wa wateja wa bidhaa hizo. Mfano watu hawa wanaweza kutengeneza simu za Milioni 3 na zaidi kwa ajili ya soko la wenye nazo, pia wanaweza kutengeneza simu ya elfu 15 hadi 20 kwa ajili ya watu wa kada ya chini.

Watu hawa hawakuishia kufundishwa vitu darasani tu kwa ajili ya kuhitimu na kupata vyeti, bali watu hawa walijikita kwenye kupata maarifa na taarifa sahihi ili kujikwamua, kwasababu changamoto yao ya ajira haijaanza leo wala jana.

Sisi tumekuwa wepesi kutumia mitandao hii kuangalia vitu tofauti ambapo si vibaya hasa kwenye upande wa burudani kama vile michezo, muziki, tamthilia n.k. Wapo Watanzania wanaotumia mitandao hii hii vizuri zaidi, katika kujifunza taaluma mbalimbali, na kuchangamkia fursa zenye malipo ndani yake. Watu hawa tunapowaona kwenye mitandao ya kijamii wakifanya mambo makubwa, tunaanza kuishia kuwakejeli, kuwatukana na kusema kuwa wanaunganishiwa na wakubwa, na maneno mengine mengi.

Sitaki kusema kuwa hayo mambo hayapo, lakini nataka kumaanisha ya kwamba, tusipende kuwa watu wa lawama bali tutafute namna ya kupata maarifa na taarifa sahihi. Mitandao imejaa fursa kedekede, ni namna tu ya kujua zinapopatikana na namna ya kuziendea.

Wenzetu wamejitengenezea njia nzuri ya kujitafutia vipato hata kwa ujira mdogo lakini wamekuwa si watu wa kulalamika tena, bali wamekuwa watu wa kugeuza changamoto kuwa fursa siku zote. Leo hii, ukiwauliza hata vijana wa Kitanzania 100 kama wanaifahamu sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inazungumzia nini, nina uhakika zaidi ya 75% watakuwa hawana majibu sahihi. Hata kufahamu ya kwamba sera hiyo imeshapitwa na wakati na yapaswa kuboreshwa au kubadilishwa, sababu imeshakaa zaidi ya miaka 10, wengi wao hawawezi kufahamu.

Changamoto ya kufanya jambo lolote bila maarifa ya kutosha na taarifa sahihi kumewaingiza vijana wengi matatizoni. Unaweza kutaka kufanya jambo jema kama mwenzako aliyekutangulia na kufanikiwa kupitia jambo hilo, lakini ukaona mambo hayakuendei kama ulivyotarajia, ni kwasababu ya kutowekeza muda wa kutosha kwenye maarifa na taarifa sahihi.

Mtu yeyote mwenye maarifa, hutafuta taarifa sahihi kabla ya kufanya jambo lolote la msingi, hivi ndivyo wawekezaji, wajasiriamali wakubwa au mtu yeyote makini hufanya. Nawasihi vijana wenzangu, tujikite kwenye kutafuta maarifa na taarifa sahihi kwanza, hii itatufanya tupunguze lawama kila kukicha, pia tutakuwa watu wa kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kutukwamua kimaisha.

Nakabidhi,

Andrew Ikingura.
Nchi inayohamasisha graduates kuwa mabodaboda na machinga au wabeba zege ni nchi ya mfano uzezeta wa kutisha Chini ya jua ,

A destiny killer that's what this shithole just like many Subsaharan shitholes are
Period !
 
Katika ulimwengu wenye takribani ya watu zaidi ya bilioni 7, watu wenye umri chini ya miaka thelathini (30) wanadhaniwa kuwa ni zaidi ya 50% duniani kote. Na katika hali ya kawaida kundi hili limejumuikwa na vijana pamoja na watoto wadogo.

Takwimu kutoka Benki ya dunia (WB), Shirika la Ajira Ulimwenguni (ILO) zinaonyesha kuwa katika kundi hilo la watu wenye umri chini ya miaka 30, zaidi ya 34% wapo shule za awali na za msingi, 20% wapo shule za sekondari, vyuo vikuu pamoja na shule za ufundi. Huku ikidhaniwa ya kuwa takribani 17% na zaidi wapo katika ajira rasmi na zisizo rasmi.

Takribani 30% za watu wenye umri chini ya miaka 30 zilizobaki zimejumuishwa kwenye makundi kama vile wanajeshi, wafungwa, vijana wa mtaani pamoja na watu wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi.

Takwimu hizo zinazoonesha jinsi gani kundi hili tulivyogawanyika kwenye mafungu tofauti tofauti ulimwenguni kote. Ningependa kuizungumzia zaidi nchi yetu pendwa ya Tanzania, ambapo hivi sasa kila mwaka katika ngazi ya vyuo vinavyotambulika kuwa ndio ngazi muhimu ya kumuimarisha kijana yoyote kabla hajaingia kwenye swala zima la utafutaji kupitia taaluma yake vinatoa maelfu ya wahitimu ambao hujipigia hesabu za kuingia kwenye soko la ajira kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Takwimu za mwaka 2020 kutoka Ofisi ya Takwimu za Taifa na ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 314,057 wameajiriwa kupitia miradi ya maendeleo ya serikali kama vile ujenzi, mikopo ya halmashauri pamoja na ajira rasmi ya moja kwa moja. Inasadikika idadi hiyo imeongezeka kidogo hadi kufikia mwaka huu 2022 serikali imetengeneza ajira 500,000 kupitia miradi yake pamoja na waajiriwa rasmi. Watu 280,941 kama ilivyoainishwa kwenye mchoro ufuatao umetoka kwenye sekta binafsi.

View attachment 2351656
Chanzo: Ofisi ya Takwimu za Taifa (NBS)

Katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku 50% na zaidi ikiwa ni vijana, inaonesha jinsi gani asilimia kubwa ya kundi hili lipo mtaani katika kufanya harakati tofauti tofauti ili kuweka mkono kinywani.

Ningependa kuchukua nafasi hii kupitia waraka huu, mimi kama kijana wa Kitanzania kuwasihi vijana wenzangu wa Kitanzania ya kuwa, tatizo hili si geni sana nchini na ulimwenguni kote. Kijana mwenye nia ya kutaka kupiga hatua, anaweza akakosa ajira lakini hawezi kukosa kazi ya kufanya. Ningependa kutolea mfano, wa nchi ya wenzetu China, si kwasababu ni nchi iliyoendelea; La Hasha, natoa mfano huu kwasababu ni nchi moja wapo yenye watu wengi zaidi ulimwenguni (Bilioni 1.4+). Wachina zaidi ya milioni 600 wana umri chini ya miaka 30; watu milioni 200 tu ndio walioajiriwa kwenye makampuni binafsi pamoja na serikali kuu. Hebu tujiulize, je hao milioni 400 wapo wapi na wanafanya nini?

Sijasema kuwa hawalalamiki kwasababu ya kukosa ajira, wanaweza wakawa wanalalamika lakini ni watu wenye kujishughulisha kila kukicha. China ni miongoni mwa nchi zinazoaminika kuwa na bidhaa zenye viwango vya juu mno, lakini hawakuishia hapo, kupitia changamoto hizi hizi za ajira, vijana wao wamebuni namna ya kukidhi masoko tofauti tofauti ulimwenguni kulingana na uhitaji pamoja na uwezo wa wateja wa bidhaa hizo. Mfano watu hawa wanaweza kutengeneza simu za Milioni 3 na zaidi kwa ajili ya soko la wenye nazo, pia wanaweza kutengeneza simu ya elfu 15 hadi 20 kwa ajili ya watu wa kada ya chini.

Watu hawa hawakuishia kufundishwa vitu darasani tu kwa ajili ya kuhitimu na kupata vyeti, bali watu hawa walijikita kwenye kupata maarifa na taarifa sahihi ili kujikwamua, kwasababu changamoto yao ya ajira haijaanza leo wala jana.

Sisi tumekuwa wepesi kutumia mitandao hii kuangalia vitu tofauti ambapo si vibaya hasa kwenye upande wa burudani kama vile michezo, muziki, tamthilia n.k. Wapo Watanzania wanaotumia mitandao hii hii vizuri zaidi, katika kujifunza taaluma mbalimbali, na kuchangamkia fursa zenye malipo ndani yake. Watu hawa tunapowaona kwenye mitandao ya kijamii wakifanya mambo makubwa, tunaanza kuishia kuwakejeli, kuwatukana na kusema kuwa wanaunganishiwa na wakubwa, na maneno mengine mengi.

Sitaki kusema kuwa hayo mambo hayapo, lakini nataka kumaanisha ya kwamba, tusipende kuwa watu wa lawama bali tutafute namna ya kupata maarifa na taarifa sahihi. Mitandao imejaa fursa kedekede, ni namna tu ya kujua zinapopatikana na namna ya kuziendea.

Wenzetu wamejitengenezea njia nzuri ya kujitafutia vipato hata kwa ujira mdogo lakini wamekuwa si watu wa kulalamika tena, bali wamekuwa watu wa kugeuza changamoto kuwa fursa siku zote. Leo hii, ukiwauliza hata vijana wa Kitanzania 100 kama wanaifahamu sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inazungumzia nini, nina uhakika zaidi ya 75% watakuwa hawana majibu sahihi. Hata kufahamu ya kwamba sera hiyo imeshapitwa na wakati na yapaswa kuboreshwa au kubadilishwa, sababu imeshakaa zaidi ya miaka 10, wengi wao hawawezi kufahamu.

Changamoto ya kufanya jambo lolote bila maarifa ya kutosha na taarifa sahihi kumewaingiza vijana wengi matatizoni. Unaweza kutaka kufanya jambo jema kama mwenzako aliyekutangulia na kufanikiwa kupitia jambo hilo, lakini ukaona mambo hayakuendei kama ulivyotarajia, ni kwasababu ya kutowekeza muda wa kutosha kwenye maarifa na taarifa sahihi.

Mtu yeyote mwenye maarifa, hutafuta taarifa sahihi kabla ya kufanya jambo lolote la msingi, hivi ndivyo wawekezaji, wajasiriamali wakubwa au mtu yeyote makini hufanya. Nawasihi vijana wenzangu, tujikite kwenye kutafuta maarifa na taarifa sahihi kwanza, hii itatufanya tupunguze lawama kila kukicha, pia tutakuwa watu wa kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kutukwamua kimaisha.

Nakabidhi,

Andrew Ikingura.
Unasema China vijana wamejiajiri kutengeneza simu na bidhaa. Wewe na hao wenzako mlishawahi kujiajiri hata Kwa kuuza karanga nchi hii ? Unajua mazingira ya ujasiriamali ,biashara na kujiajiri yalivyo nchi hii ?

Unaweza kuwataja hao vijana waliojiajiri China na kutengeneza hizo bidhaa au ndio kutujazia servers humu Kwa kuandika tu humu kila siku?

Hao mnaowaita viongozi wenu ndio wanabuni mbinu za kuwafukarisha wananchi kila siku Kwa Sera mbovu, wanafisadi na kuhujumu uchumi WA taifa , wanadidimiza maendeleo Kwa rushwa na undugunization , wao

Kwa nini hawawambii watoto wao wajiajiri ? ,Au Kwa nini hawaachii hivyo vyeo vijana waajiriwe ? Unakuta majitu yameajiriwa kwa miaka 30+ yet hata kulaunch small startups hayawezi ,halafu fyoko fyoko fyoko fyoko mjiajiri

Mnaua sekta binafsi na kuharibu mazingira ya biashara Kwa Sera mbovu ,rushwa ,ukiritimba nk halafu mnawaambia watu wajiajiri , mnajua maana ya kujiajiri nyie mbuzi ?

Shut your dirty stinky mouths .

Mtaniwia radhi Kwa kuandika Kwa lugha Kali ,I'm so bitter with these nation & these motivational speakers wannabes
 
Katika ulimwengu wenye takribani ya watu zaidi ya bilioni 7, watu wenye umri chini ya miaka thelathini (30) wanadhaniwa kuwa ni zaidi ya 50% duniani kote. Na katika hali ya kawaida kundi hili limejumuikwa na vijana pamoja na watoto wadogo.

Takwimu kutoka Benki ya dunia (WB), Shirika la Ajira Ulimwenguni (ILO) zinaonyesha kuwa katika kundi hilo la watu wenye umri chini ya miaka 30, zaidi ya 34% wapo shule za awali na za msingi, 20% wapo shule za sekondari, vyuo vikuu pamoja na shule za ufundi. Huku ikidhaniwa ya kuwa takribani 17% na zaidi wapo katika ajira rasmi na zisizo rasmi.

Takribani 30% za watu wenye umri chini ya miaka 30 zilizobaki zimejumuishwa kwenye makundi kama vile wanajeshi, wafungwa, vijana wa mtaani pamoja na watu wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi.

Takwimu hizo zinazoonesha jinsi gani kundi hili tulivyogawanyika kwenye mafungu tofauti tofauti ulimwenguni kote. Ningependa kuizungumzia zaidi nchi yetu pendwa ya Tanzania, ambapo hivi sasa kila mwaka katika ngazi ya vyuo vinavyotambulika kuwa ndio ngazi muhimu ya kumuimarisha kijana yoyote kabla hajaingia kwenye swala zima la utafutaji kupitia taaluma yake vinatoa maelfu ya wahitimu ambao hujipigia hesabu za kuingia kwenye soko la ajira kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Takwimu za mwaka 2020 kutoka Ofisi ya Takwimu za Taifa na ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 314,057 wameajiriwa kupitia miradi ya maendeleo ya serikali kama vile ujenzi, mikopo ya halmashauri pamoja na ajira rasmi ya moja kwa moja. Inasadikika idadi hiyo imeongezeka kidogo hadi kufikia mwaka huu 2022 serikali imetengeneza ajira 500,000 kupitia miradi yake pamoja na waajiriwa rasmi. Watu 280,941 kama ilivyoainishwa kwenye mchoro ufuatao umetoka kwenye sekta binafsi.

View attachment 2351656
Chanzo: Ofisi ya Takwimu za Taifa (NBS)

Katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku 50% na zaidi ikiwa ni vijana, inaonesha jinsi gani asilimia kubwa ya kundi hili lipo mtaani katika kufanya harakati tofauti tofauti ili kuweka mkono kinywani.

Ningependa kuchukua nafasi hii kupitia waraka huu, mimi kama kijana wa Kitanzania kuwasihi vijana wenzangu wa Kitanzania ya kuwa, tatizo hili si geni sana nchini na ulimwenguni kote. Kijana mwenye nia ya kutaka kupiga hatua, anaweza akakosa ajira lakini hawezi kukosa kazi ya kufanya. Ningependa kutolea mfano, wa nchi ya wenzetu China, si kwasababu ni nchi iliyoendelea; La Hasha, natoa mfano huu kwasababu ni nchi moja wapo yenye watu wengi zaidi ulimwenguni (Bilioni 1.4+). Wachina zaidi ya milioni 600 wana umri chini ya miaka 30; watu milioni 200 tu ndio walioajiriwa kwenye makampuni binafsi pamoja na serikali kuu. Hebu tujiulize, je hao milioni 400 wapo wapi na wanafanya nini?

Sijasema kuwa hawalalamiki kwasababu ya kukosa ajira, wanaweza wakawa wanalalamika lakini ni watu wenye kujishughulisha kila kukicha. China ni miongoni mwa nchi zinazoaminika kuwa na bidhaa zenye viwango vya juu mno, lakini hawakuishia hapo, kupitia changamoto hizi hizi za ajira, vijana wao wamebuni namna ya kukidhi masoko tofauti tofauti ulimwenguni kulingana na uhitaji pamoja na uwezo wa wateja wa bidhaa hizo. Mfano watu hawa wanaweza kutengeneza simu za Milioni 3 na zaidi kwa ajili ya soko la wenye nazo, pia wanaweza kutengeneza simu ya elfu 15 hadi 20 kwa ajili ya watu wa kada ya chini.

Watu hawa hawakuishia kufundishwa vitu darasani tu kwa ajili ya kuhitimu na kupata vyeti, bali watu hawa walijikita kwenye kupata maarifa na taarifa sahihi ili kujikwamua, kwasababu changamoto yao ya ajira haijaanza leo wala jana.

Sisi tumekuwa wepesi kutumia mitandao hii kuangalia vitu tofauti ambapo si vibaya hasa kwenye upande wa burudani kama vile michezo, muziki, tamthilia n.k. Wapo Watanzania wanaotumia mitandao hii hii vizuri zaidi, katika kujifunza taaluma mbalimbali, na kuchangamkia fursa zenye malipo ndani yake. Watu hawa tunapowaona kwenye mitandao ya kijamii wakifanya mambo makubwa, tunaanza kuishia kuwakejeli, kuwatukana na kusema kuwa wanaunganishiwa na wakubwa, na maneno mengine mengi.

Sitaki kusema kuwa hayo mambo hayapo, lakini nataka kumaanisha ya kwamba, tusipende kuwa watu wa lawama bali tutafute namna ya kupata maarifa na taarifa sahihi. Mitandao imejaa fursa kedekede, ni namna tu ya kujua zinapopatikana na namna ya kuziendea.

Wenzetu wamejitengenezea njia nzuri ya kujitafutia vipato hata kwa ujira mdogo lakini wamekuwa si watu wa kulalamika tena, bali wamekuwa watu wa kugeuza changamoto kuwa fursa siku zote. Leo hii, ukiwauliza hata vijana wa Kitanzania 100 kama wanaifahamu sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inazungumzia nini, nina uhakika zaidi ya 75% watakuwa hawana majibu sahihi. Hata kufahamu ya kwamba sera hiyo imeshapitwa na wakati na yapaswa kuboreshwa au kubadilishwa, sababu imeshakaa zaidi ya miaka 10, wengi wao hawawezi kufahamu.

Changamoto ya kufanya jambo lolote bila maarifa ya kutosha na taarifa sahihi kumewaingiza vijana wengi matatizoni. Unaweza kutaka kufanya jambo jema kama mwenzako aliyekutangulia na kufanikiwa kupitia jambo hilo, lakini ukaona mambo hayakuendei kama ulivyotarajia, ni kwasababu ya kutowekeza muda wa kutosha kwenye maarifa na taarifa sahihi.

Mtu yeyote mwenye maarifa, hutafuta taarifa sahihi kabla ya kufanya jambo lolote la msingi, hivi ndivyo wawekezaji, wajasiriamali wakubwa au mtu yeyote makini hufanya. Nawasihi vijana wenzangu, tujikite kwenye kutafuta maarifa na taarifa sahihi kwanza, hii itatufanya tupunguze lawama kila kukicha, pia tutakuwa watu wa kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kutukwamua kimaisha.

Nakabidhi,

Andrew Ikingura.

Katika ulimwengu wenye takribani ya watu zaidi ya bilioni 7, watu wenye umri chini ya miaka thelathini (30) wanadhaniwa kuwa ni zaidi ya 50% duniani kote. Na katika hali ya kawaida kundi hili limejumuikwa na vijana pamoja na watoto wadogo.

Takwimu kutoka Benki ya dunia (WB), Shirika la Ajira Ulimwenguni (ILO) zinaonyesha kuwa katika kundi hilo la watu wenye umri chini ya miaka 30, zaidi ya 34% wapo shule za awali na za msingi, 20% wapo shule za sekondari, vyuo vikuu pamoja na shule za ufundi. Huku ikidhaniwa ya kuwa takribani 17% na zaidi wapo katika ajira rasmi na zisizo rasmi.

Takribani 30% za watu wenye umri chini ya miaka 30 zilizobaki zimejumuishwa kwenye makundi kama vile wanajeshi, wafungwa, vijana wa mtaani pamoja na watu wanaofanya kazi katika mazingira hatarishi.

Takwimu hizo zinazoonesha jinsi gani kundi hili tulivyogawanyika kwenye mafungu tofauti tofauti ulimwenguni kote. Ningependa kuizungumzia zaidi nchi yetu pendwa ya Tanzania, ambapo hivi sasa kila mwaka katika ngazi ya vyuo vinavyotambulika kuwa ndio ngazi muhimu ya kumuimarisha kijana yoyote kabla hajaingia kwenye swala zima la utafutaji kupitia taaluma yake vinatoa maelfu ya wahitimu ambao hujipigia hesabu za kuingia kwenye soko la ajira kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Takwimu za mwaka 2020 kutoka Ofisi ya Takwimu za Taifa na ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu zinaonesha kuwa zaidi ya watu 314,057 wameajiriwa kupitia miradi ya maendeleo ya serikali kama vile ujenzi, mikopo ya halmashauri pamoja na ajira rasmi ya moja kwa moja. Inasadikika idadi hiyo imeongezeka kidogo hadi kufikia mwaka huu 2022 serikali imetengeneza ajira 500,000 kupitia miradi yake pamoja na waajiriwa rasmi. Watu 280,941 kama ilivyoainishwa kwenye mchoro ufuatao umetoka kwenye sekta binafsi.

View attachment 2351656
Chanzo: Ofisi ya Takwimu za Taifa (NBS)

Katika nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku 50% na zaidi ikiwa ni vijana, inaonesha jinsi gani asilimia kubwa ya kundi hili lipo mtaani katika kufanya harakati tofauti tofauti ili kuweka mkono kinywani.

Ningependa kuchukua nafasi hii kupitia waraka huu, mimi kama kijana wa Kitanzania kuwasihi vijana wenzangu wa Kitanzania ya kuwa, tatizo hili si geni sana nchini na ulimwenguni kote. Kijana mwenye nia ya kutaka kupiga hatua, anaweza akakosa ajira lakini hawezi kukosa kazi ya kufanya. Ningependa kutolea mfano, wa nchi ya wenzetu China, si kwasababu ni nchi iliyoendelea; La Hasha, natoa mfano huu kwasababu ni nchi moja wapo yenye watu wengi zaidi ulimwenguni (Bilioni 1.4+). Wachina zaidi ya milioni 600 wana umri chini ya miaka 30; watu milioni 200 tu ndio walioajiriwa kwenye makampuni binafsi pamoja na serikali kuu. Hebu tujiulize, je hao milioni 400 wapo wapi na wanafanya nini?

Sijasema kuwa hawalalamiki kwasababu ya kukosa ajira, wanaweza wakawa wanalalamika lakini ni watu wenye kujishughulisha kila kukicha. China ni miongoni mwa nchi zinazoaminika kuwa na bidhaa zenye viwango vya juu mno, lakini hawakuishia hapo, kupitia changamoto hizi hizi za ajira, vijana wao wamebuni namna ya kukidhi masoko tofauti tofauti ulimwenguni kulingana na uhitaji pamoja na uwezo wa wateja wa bidhaa hizo. Mfano watu hawa wanaweza kutengeneza simu za Milioni 3 na zaidi kwa ajili ya soko la wenye nazo, pia wanaweza kutengeneza simu ya elfu 15 hadi 20 kwa ajili ya watu wa kada ya chini.

Watu hawa hawakuishia kufundishwa vitu darasani tu kwa ajili ya kuhitimu na kupata vyeti, bali watu hawa walijikita kwenye kupata maarifa na taarifa sahihi ili kujikwamua, kwasababu changamoto yao ya ajira haijaanza leo wala jana.

Sisi tumekuwa wepesi kutumia mitandao hii kuangalia vitu tofauti ambapo si vibaya hasa kwenye upande wa burudani kama vile michezo, muziki, tamthilia n.k. Wapo Watanzania wanaotumia mitandao hii hii vizuri zaidi, katika kujifunza taaluma mbalimbali, na kuchangamkia fursa zenye malipo ndani yake. Watu hawa tunapowaona kwenye mitandao ya kijamii wakifanya mambo makubwa, tunaanza kuishia kuwakejeli, kuwatukana na kusema kuwa wanaunganishiwa na wakubwa, na maneno mengine mengi.

Sitaki kusema kuwa hayo mambo hayapo, lakini nataka kumaanisha ya kwamba, tusipende kuwa watu wa lawama bali tutafute namna ya kupata maarifa na taarifa sahihi. Mitandao imejaa fursa kedekede, ni namna tu ya kujua zinapopatikana na namna ya kuziendea.

Wenzetu wamejitengenezea njia nzuri ya kujitafutia vipato hata kwa ujira mdogo lakini wamekuwa si watu wa kulalamika tena, bali wamekuwa watu wa kugeuza changamoto kuwa fursa siku zote. Leo hii, ukiwauliza hata vijana wa Kitanzania 100 kama wanaifahamu sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 inazungumzia nini, nina uhakika zaidi ya 75% watakuwa hawana majibu sahihi. Hata kufahamu ya kwamba sera hiyo imeshapitwa na wakati na yapaswa kuboreshwa au kubadilishwa, sababu imeshakaa zaidi ya miaka 10, wengi wao hawawezi kufahamu.

Changamoto ya kufanya jambo lolote bila maarifa ya kutosha na taarifa sahihi kumewaingiza vijana wengi matatizoni. Unaweza kutaka kufanya jambo jema kama mwenzako aliyekutangulia na kufanikiwa kupitia jambo hilo, lakini ukaona mambo hayakuendei kama ulivyotarajia, ni kwasababu ya kutowekeza muda wa kutosha kwenye maarifa na taarifa sahihi.

Mtu yeyote mwenye maarifa, hutafuta taarifa sahihi kabla ya kufanya jambo lolote la msingi, hivi ndivyo wawekezaji, wajasiriamali wakubwa au mtu yeyote makini hufanya. Nawasihi vijana wenzangu, tujikite kwenye kutafuta maarifa na taarifa sahihi kwanza, hii itatufanya tupunguze lawama kila kukicha, pia tutakuwa watu wa kuzichangamkia fursa mbalimbali zinazoweza kutukwamua kimaisha.

Nakabidhi,

Andrew Ikingura.
Keep fighting broh!
 
Unasema China vijana wamejiajiri kutengeneza simu na bidhaa. Wewe na hao wenzako mlishawahi kujiajiri hata Kwa kuuza karanga nchi hii ? Unajua mazingira ya ujasiriamali ,biashara na kujiajiri yalivyo nchi hii ?

Unaweza kuwataja hao vijana waliojiajiri China na kutengeneza hizo bidhaa au ndio kutujazia servers humu Kwa kuandika tu humu kila siku?

Hao mnaowaita viongozi wenu ndio wanabuni mbinu za kuwafukarisha wananchi kila siku Kwa Sera mbovu, wanafisadi na kuhujumu uchumi WA taifa , wanadidimiza maendeleo Kwa rushwa na undugunization , wao

Kwa nini hawawambii watoto wao wajiajiri ? ,Au Kwa nini hawaachii hivyo vyeo vijana waajiriwe ? Unakuta majitu yameajiriwa kwa miaka 30+ yet hata kulaunch small startups hayawezi ,halafu fyoko fyoko fyoko fyoko mjiajiri

Mnaua sekta binafsi na kuharibu mazingira ya biashara Kwa Sera mbovu ,rushwa ,ukiritimba nk halafu mnawaambia watu wajiajiri , mnajua maana ya kujiajiri nyie mbuzi ?

Shut your dirty stinky mouths .

Mtaniwia radhi Kwa kuandika Kwa lugha Kali ,I'm so bitter with these nation & these motivational speakers wannabes
Ndugu yangu, umeongea mengi kwa jazba kubwa, sijazungumzia kujiajiri. Nilichokuwa najaribu kuclarify ni swala zima la sisi vijana kuziendea taarifa na maarifa sahihi kwenye platform mbalimbali. Usitake kuzungumzia maisha ya watu wengine, Mtu yeyote ujayemuona yupo sehemu fulani, kuna namna alifika hapo na si rahisi kama unavodhani. Jitafakari wewe mwenyewe katika safari ya maisha yako, je unatafuta maarifa na taarifa sahihi kwenye mitandao ili kukusaidia kukua kadri siku zinavozidi kuendelea? Au unakesha kupata taarifa na kutozitumia kwa njia chanya ya kukuendeleza, mwishowe unarudi kesho na keshokutwa kuponda watu wengine.....Mabadiliko yanaanza na wewe mwenywe, usipoamua kubadilisha muenendo wako...utakesha kuzungumza sana bila manufaa yoyote, lakini ukiamua kutumia elimu na maarifa uliyonayo hadi umri huu, kuna kitu unaweza fanya na hii itakufanya utumie muda mwingi kujikuza kuliko kutumia muda mwingi kuwa na uneni hasi kwenye mishemishe za wadau wengine....Jitafakari
 
Back
Top Bottom