"Sintosahau Maishani"...!!

KUMBE NA WEWE dhaifu!!1 SnowBall
 
Last edited by a moderator:

Basi itakuwa naina matatizo kweli lakini kwanini anifanyie hivi infront of me...?? kwanini wasipange kivyao wakafanye huko wanakokujua?? Anyway imeshatokea.....akiolewa sista yangu haiwezi kuniuma dear!!
 
Usiumie sana, hapo ni mungu amekupigania mara tatu, kuna kitu alikuwa hataki ukutane nacho. Mara tatu hizo ni:
1. Ulipojifanya mustaarabu, ni mungu alikuongoza ili usimpate siku hiyo;
2. Mungu alimuongoza yule Boss wa Hostel awatimue pale kwa kisingizio cha Passport kwani mngelala pale tena lazima ungem-do;
3. Kitendo cha kupata hifadhi kwa jamaa zenu wa Kenya na demu kuchukuliwa na Mkenya, bado ni mungu alikuwa anakuweka mbali na huyo kicheche.
Usiumize sana moyo wako, kuna kitu God amekuepusha lakini unaweza usikigundue sasa hivi, ila baada ya muda fulani mbele ukapata picha halisi.
 

umenisikitisha na kunifurahisha..pole sana kijana..
 
Agrrrrr sema hukujua yatakayotokea,ungejua mbona hata usingempeleka kwenye hiyo harusi,nisote naye kwenye mahoteli na kila option ananitegemea hata mwaliko nimealikwa mimi,kumbe unamwandalia mazingira mwingine amege.
 
chelewa chelewa mwana si wako,uswahilini mtu unapiga sound hapo hapo halafu mnapanga hapo hapo kucheza game,mpaka mwezi uishe umeferenga kijiji kizima halafu aje kuku wa kisasa unamwangalia tu,we vipi bhana.
 

Aiseee!! Umeweka vizuri hizo points zako!! Unajua nini baada ya kuendelea na maisha yule dada alikuwa hatulii kabisa mazingira ya Chuo kila siku ni safari na kurudi ni after some weeks/days, na ikasemekana alikuwa na washkaji wengine kwenye miji mingine huko...dah
I like your points broda!! Now I can say Thanks God...for avoiding that person!!
 
umenisikitisha na kunifurahisha..pole sana kijana..

Salito..kama umefurahi, Im happy too, coz I knw you learn somthing here!! Usisikitike sana kwani yameshapita, na maisha yanaendelea kama kawa, ila hawa wadada ni kuwa waangalifu tu always!!
 
Agrrrrr sema hukujua yatakayotokea,ungejua mbona hata usingempeleka kwenye hiyo harusi,nisote naye kwenye mahoteli na kila option ananitegemea hata mwaliko nimealikwa mimi,kumbe unamwandalia mazingira mwingine amege.

We yaani acha tu...ndio maana najiuliza kwanini afanye hivyo vitu mapachoni pangu ilhali mie ndio nilimdahamini kwenye ile safari, nikamchukulia powa, lakini badae akanifanyia usen..... yaani 99 hapa palikuwa pagumu sana kuwa stable....anyway.

chelewa chelewa mwana si wako,uswahilini mtu unapiga sound hapo hapo halafu mnapanga hapo hapo kucheza game,mpaka mwezi uishe umeferenga kijiji kizima halafu aje kuku wa kisasa unamwangalia tu,we vipi bhana.

Sasa hapa mbona unaniponda tena we mswahili....hahaaaaa...ndo hivyo bhana sikuwa uswahilini broda
 
Ohh AD...thankx mama!! nimeshapoa...lakini mzima wewe? muda mrefu sijakuona huku, usharudi homiz?? Mc ya!!

hahahahahahahahah nilidhani msichana wa Arusha unae muongelea ni mimi hahah lol..🙂
Mi sijambo kabisa my dear , nimebanwa tu na "kama unavyojua" lolz ... dahhh kitambo
kweli hatujaongea bado uko kule mitaa ya juu????????? na unaendeleaje?
 
hahahahahahahahah nilidhani msichana wa Arusha unae muongelea ni mimi hahah lol..🙂
Mi sijambo kabisa my dear , nimebanwa tu na "kama unavyojua" lolz ... dahhh kitambo
kweli hatujaongea bado uko kule mitaa ya juu????????? na unaendeleaje?

Ngoja nikuPm manake huku mmh....kuna wenyewe..si unajua ya Mungu mengi...ila nyie wasichana wa A-town mmhhhh....hivi kwanini mkiulizwa mnajibu mi ni Muarusha?? Sijawahi kusikia mnataja kabila lenu mkiulizwa...

Bt luckly enough most of them are beautiful.....hahaaa
 
ila kuna situations ambazo hazina mjanja,sometimes unaweza kumheshim dem na kumwandalia mazingira mazuri ila wengine wanajimegea tu popote.
 

labda tunasema "Muarusha" sababu ndo tumetoka huko..
ahhhhhhh mi napenda kabisa kusema kabila langu...

anyway rudi chumbani nimekujibu ...
 
labda tunasema "Muarusha" sababu ndo tumetoka huko..
ahhhhhhh mi napenda kabisa kusema kabila langu...

anyway rudi chumbani nimekujibu ...

Haya bhana...nisharudi nimekukuta umejaa tele....Im complishin smthng...just few min ahead
 
Aisee sisi wanawake sometimes tuna matatizo, hivi mtu anakubali kudo na yoyote tu ili mradi chance imepatikana??khaaaa!
 
Aisee sisi wanawake sometimes tuna matatizo, hivi mtu anakubali kudo na yoyote tu ili mradi chance imepatikana??khaaaa!

Lakini purple sio wadada wote wako hivyo...ni hulka na tabia za mtu...differs always, ila wasiojitambua huwa hivyo...vicheche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…