"Sintosahau Maishani"...!!

opportunit chance never come twice .....nimejifunza jambo!!
 
hahahaaaaaaaaaa, hapo pa kutafutia credit pameniacha hoi
pole bwana Sizinga kwa kunyang,anywa tonge kwa mudomoni yako lol
 
Aisee sisi wanawake sometimes tuna matatizo, hivi mtu anakubali kudo na yoyote tu ili mradi chance imepatikana??khaaaa!

siyo vizuri kumnyima N'NTU kitu ulichopewa bure...
 
you must be joking, lazima akudharau....ustarabu mwingine bwana.....huyu demu mpaka kesho anakuona una kasoro mtu wangu, katika maisha kuwa risk taker utawini haraka sana, high risk high return...kama unaogopa gharama basi vizuri huvipati wewe kwani vizuri ni gharama....siku nyingine kuwa na maamuzi ya kiume
 
Du!Mkubwa mimi niwe mkweli kwa masifa uliyoyatoa kwa uyo Duu mimi nisingemsubilisha kiivyo aisee yani ile katoka kuoga tu kingeeleweka kwanza alafu usingizi baadae tena kama vipi kulala siku iyo tunakupa likizo.
 
umelala na mwanamke usiku kucha hata kukic mjomba ulikwama!!!
 
umelala na mwanamke usiku kucha hata kukic mjomba ulikwama!!!

usijilaumu,kweli ww n gentleman,sio sifa kuchomeka popote upatapo nafasi,hongera.wsh wanaume wote wangekua na ujasir km wk rather than taking off their pants wherever they fl lyk....guys mbadilike
 
usijilaumu,kweli ww n gentleman,sio sifa kuchomeka popote upatapo nafasi,hongera.wsh wanaume wote wangekua na ujasir km wk rather than taking off their pants wherever they fl lyk....guys mbadilike

Mmh I like your comment coz umepiga pabaya!! Hii kitu wanaumme wengi huwa inatushinda, tunafungua zipu everywhere possible!
 
Du!Mkubwa mimi niwe mkweli kwa masifa uliyoyatoa kwa uyo Duu mimi nisingemsubilisha kiivyo aisee yani ile katoka kuoga tu kingeeleweka kwanza alafu usingizi baadae tena kama vipi kulala siku iyo tunakupa likizo.

Sasa c uajua tena kuku wako kwanini umkimbize kwa fimbo....??
 
Mmh I like your comment coz umepiga pabaya!! Hii kitu wanaumme wengi huwa inatushinda, tunafungua zipu everywhere possible!
lol, dogo huna gemu kabisa sasa unaleta kisingizio cha ujentroman..hahaa..
 
lol, dogo huna gemu kabisa sasa unaleta kisingizio cha ujentroman..hahaa..

aAagh ujue hii kitu imeshatokea, and at that time niliona kama nimelost na nimefanywa vibaya, ingawa by now naona kama vile niliepushwa smthng pale.....umeona eeh....and more some other gentlemen here wameona kwa jicho la tatu kwamba there are lots than enough caring and respecting the gel...ambaye hakunithamini...outputs
 
lol, dogo huna gemu kabisa sasa unaleta kisingizio cha ujentroman..hahaa..

upeo wako ndo umeishia hapo?unazani kuchomeka kila mahali ndo issue ama ndo rjal?.futa hyo mawazo mgando,evn a man u need to respect urself
 
upeo wako ndo umeishia hapo?unazani kuchomeka kila mahali ndo issue ama ndo rjal?.futa hyo mawazo mgando,evn a man u need to respect urself
kwa hio tutumie upeo wako?
 
caring my azz..ulikosa mbinu za mchezo, ila uchu ulikua nao, #uchu_debe..hehee..
 
the boss tupe tupe uzoefu!ila vijana wa siku hizi hawa hawana bwana!na hawa watoto wetu wa BBM mojA YA PILI WAPO RUM HAWA STORY KAMA IZI WAZITOE WAPI?HEBU TUSHEE
 
Pole sana kwa kutudhihirishia,uliumia ila hata kama kuku wako ulitaka umle lini ihali sherehe ilishafika.na mazingira hata ya upataji room ya msaada.
 
Pole sana kwa kutudhihirishia,uliumia ila hata kama kuku wako ulitaka umle lini ihali sherehe ilishafika.na mazingira hata ya upataji room ya msaada.

Mie nimefarijika na hiyo pole uliyoitoa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…