Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Bossless atakuwa sabato haiwezekani mpaka saa hii hajatupia.
 
Alisikika boss wa interahamwe aking'aka

 
Duh mpaka mwili unasisimka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good analysis ila hapo mwishoni umekunya japo ni haki ya kikatiba kunya
 
Humu tuna mizimu aisee ..[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 5 ndio maana pasco alizimwa na kitimoto yake. Hivi vinchi vyetu ukiruhusu watu watiririke kinanuka huwezi amini. Angalia wachungaji feki wenye karama za kuongea wanavyojichotea watu kwa muda mfupi tu. Africa ukimwaga petrol kidogo tu kinawaka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawawezi kutoa nyaraka hata moja coz kuna watuhumiwa bado wapio ICC na bado kesi zao hazijaisha.na nimefuatilia kwa karibu sanaa lakini Hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
OK kama kuna case bado zinaendelea ICC hawataweza kuzidisclose. Hongera kwa kuchukua tahadhali zote. Tunajifunza mengi katika hili na kuweka historia sawa kwa wale ambao hatukushuhudia haya zaidi ya kujua kwamba kilinuka huko..
 
Pole sana kwa maswahibu yote uliyoyapitia lakini naomba nikushauri kama alivyokushauri mtu mmoja huko juu.., Hii simulizi au ushuhuda wako ni bonge moja la utajiri kama ukiangalia kwa jicho la tatu, achana na kutoa kitabu na kuuza locally hapa Tz,, kuna fursa ya uuzaji vitabu online through Amazon, kule process zote ni bure (ni wewe na mb zako na kompyuta yako) Naamini kabisa kwa kisa hiki ukiiandika vizuri kabisa tena kwa lugha ya kingereza, ukafunguka mambo mengine ambayo humu haujayasema lazima kiuzike, who knows unaweza pata hata connection kitu kikatengenezewa movie.

Ni ngumu lakini sio kama haiwezekani, na sio kwamba lazima ufanye hivi lakini ushauri tu nimekupa, bahati mbaya sana na mimi bado beginner najifunza jifunza bado ili niweze kuitumia hii fursa.. Kama utapendezwa na wazo langu,, ingia you tube mtafute jamaa anaitwa ERNEST MAKULILO ni Mtanzania, anayeishi Marekani. kaeleza process zote jinsi ya kujisajili, kuandika na ku upload kitabu amazon free kabisa kwa ajili ya kukiuza (ila baadae Amazon watakukata pesa ndogo sana baada ya kitabu kuanza kununuliwa, means hautatoa hela yako yoyote mfukoni kuwalipa),, Huyu ERNEST MWAKULILO yeye mwenyewe anafanya hivyo na kauza vitabu kadhaa tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataanza kukuua sasa utafanyaje ni kuwaondoa tu mapema ili tujenge utamaduni bora kama nchi jirani zetu za Zambia, Malawi na Kenya hawa watu ni hatari mno hasa ukiingia ukabila CCM wanaona chama kingine na adui na wako radhi kuwsus wapinzani
Tuwa ondoe haraka afadhari kufa wachache kuliko kuliingiza taifa kwenye vita kams hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman nasubiria next hapa leo sina kazi nataka kufuatilia hii kitu maana mmh duuuh hatari sana
 
Mkuu tuletee pia na version yako inafikirisha sana, ila mpk watu wanafikia kupigana ujue wamegota mwisho kwa uonevu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaanza uchawi eeeeeenh kwamba itaendelea kwenye kitabu au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…