Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mkuu huu ni ushauri murua sana, napenda sana watu wanao ona fursa na kuwashitua wenzao. Mkuu nimeona unapenda na wengine kufanikiwa, hakika utafika mbali sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata dhoruba kidogo simu yangu imepasuka kioo Leo mchana tutaendeleaaa hapa natumia simu ya wife msijali hii itafika mwisho lazima nimalize msihofuView attachment 1380093

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Boss, tupo tayari kukuchangia ili mradi hii stori ifike mwisho. Pia nimegundua wewe ni mtu usiependa majivuno upo tofouti na watanzania wengi ambao wangepata exposure ulizopata wangekuwa na kauli za kejeli kwa baadhi ya member humu ndani pengine kususa kabisa kuleta muendelezo wa hii stori yako.

Hakika wewe ni mtanzania wa kipekee,tupo tayari kwa muendelezo, msalimie hapo shemeji.
 
Hakuna Shaka Kaka yani nilivyokuwa nasoma comment zenu wengine mkajua nimekimbia .simu yangu imekreki hivyo inashindwa hata kuandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini ajabu dunia ilifahamu ikapuuza. Bikira Maria hadi alitokea kuonya kinachokuja lakini wale mabinti waliotokewa walipuuzwa! Ila yale mauaji ya Rwanda sijui nini kiliikumba dunia!

Sent using Jamii Forums mobile app
🤔
Hii habari ya Bikira Maria "Kutokea" kwa lengo la kutoa tahadhari niliikuta sehemu moja nchini Rwanda inaitwa Kibeho. Eneo hilo lilitangazwa na kanisa katoliki kama "The only holy land in Africa" Nilikaa pale siku mbili kwa nia ya kujifunza!.... Ajabu ni kuwa kati ya wenyeji niliobahatika kuwahoji kuhusu kuonekana kwa Bikira Maria sikuwahi kukutana na mnyarwanda aliyekuwa tayari kutoa ushuhuda wa hili jambo kuu la kiimani.

Mkuu MTAZAMO unaweza kutushirikisha angalau kwa kifupi kuhusu ukweli wa jambo hili?... Naamini mtoa hoja hatokuwa na pingamizi kwa uzi wake kuingiliwa.🤔🤔
 
Hakuna Shaka Kaka yani nilivyokuwa nasoma comment zenu wengine mkajua nimekimbia .simu yangu imekreki hivyo inashindwa hata kuandika

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika, tulidhani umekimbia kama wafanyavyo baadhi ya member humu ndani, wengine tulihisi labda umepigwa mkwara na wale watu wa upande wa pili huko PM kwako, maana katika baadhi ya maandishi yako umeonesha ukiuhusisha Tanzania indirectly
 
Mkuu yule jamaa unayemsifia wajua kuwa ametoka huko? Watch out your mouth bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi hilo wazo limenijia, naona bado hakuna amani ya kweli moyoni baina ya haya makabila mawili, nahisi tu kuwa watawarudi watutsi pindi PG akiachia madaraka.

Nchi za kiafrika kuwa na makabila mawili tu ni janga kubwa sana.
Ni sawa na hapa Tz tungekuwa na Wahaya(Special tribe) na Wachaga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…