Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Wewe kwa kauli kama hii ni ushahidi tosha huna nia njema na huu uzi

Anzisha uzi wako ,watu wanakushambulia wamekuchoka
wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.

Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkakati huo ungefika mpaka Tanzania na ungeishia Kenya kwa kuwa mpango uliokuwepo ni kuziweka nchi zote hizo katika himaya ya kitusi.
 
Vipi baada ya kurudi Tz raia wa bongo mitaani walikuwa wanajua chochote kinachoendelea uko Rwanda kipindi icho?? Kwasababu wakat huo hakukua na mawasiliano ya cm za mkononi na tv zilikua chache. Tujuze hali ilikuaje Tanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli wewe ndiye unayetaka kuleta maafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Media nyingi Sana hapa dunian humilikiwa na imaya flan hv inayotaman Dola hasa kisiasa hata hz za bongo kila mkoa Kuna kiredio kasio Cha mwanasiasa bas kanisa kaa sikiliza habar zao n za upande mmoja na ukija jumlisha na Hawa waandishi wetu walivyo bogas ndo kabisaa watu wanalishwa sumu kupitia media
 
Shukran boss, karibu tena
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee stori ilikuwa nzuri sana, tumeyafahamu tuliyokuwa hatufahamu, hapa ni shetani alishuka mwenyewe kupigana mana si misukosuko hiyo walopata binaadamu wenzetu. Mungu awalaze pema wote walokufa kifo cha kikatili hivyo. Hakika stori imeumiza sana. Na mwisho hongera baba kwakupigana vita japo kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Doh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mauaji ya Rwanda yalifungwa kwenye box kwa muda wa siku 70 siku ya 71 ndo watu waliokuwa wamefanikiwa kutorokea wakawa wanasambaza habari .enzi no social media ni simu za kamba tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…