Wakuu, mie nilikereka mno tena mno baada ya kusikia sintofahamu za kocha, mchungaji bora wa msimu uliopita na uongozi wa hii timu ya Geita Gold.
Sijui walijiona wamefika mwisho wa soka baada ya kufaulu kuiwakilisha nchi katika mashindano ya CAF. Sikuelewa kinachoendelea mpaka ligi inaanza wao wanabembelezana tu.
Sinto sangaa wakiteremka daraja kwani ukipanda mahindi huvuni mpunga.