KERO Sinza A Umeme tunakatiwa kila siku

KERO Sinza A Umeme tunakatiwa kila siku

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kimasu

New Member
Joined
Jul 31, 2024
Posts
3
Reaction score
0
Wadau, huku kwetu sinza A ni changamoto, siku haibadiliki bila umeme kukatika sio chini ya mara mbili, sasa hatuelewi ni mgao au ni uamuzi wa wenye nchi kutufanyia hivi.
 
Wadau, huku kwetu sinza A ni changamoto, siku haibadiliki bila umeme kukatika sio chini ya mara mbili, sasa hatuelewi ni mgao au ni uamuzi wa wenye nchi kutufanyia hivi.
Sio huko tu hata huku kawe kila siku unakata umeme
 
Back
Top Bottom