Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Nimefikiria kuanzisha uzi kuhusu hii pande ya mji wa dar es salaam tupate kushirikishana mambo kadhaa.
Ukiona pisi kali kapanga sinza anakaa kigetogeto na hana kazi maalum, mkuu usitongoze wewe uliza tu bao moja sh ngapi.
Wanaume watanashati kupitiliza huko sinza wengi sio riziki.
Kama ni mgeni hapa dar ukija usifikie kuishi sinza, utajipoteza wewe na malengo yako. Kakae angalau Kimara.
Wadau ongezeni zaidi
Ukiona pisi kali kapanga sinza anakaa kigetogeto na hana kazi maalum, mkuu usitongoze wewe uliza tu bao moja sh ngapi.
Wanaume watanashati kupitiliza huko sinza wengi sio riziki.
Kama ni mgeni hapa dar ukija usifikie kuishi sinza, utajipoteza wewe na malengo yako. Kakae angalau Kimara.
Wadau ongezeni zaidi