bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Yes Yanga mabingwa tena la 29 kibindoni sio ubingwa tu pia wanamedali za Caf shirikisho kama mabingwa waliofanana, sio Caf tu pia wana medali za ngao ya jamii waliyoipata baada ya kumnyoa Simba chuma 2.
Huku wale wa upande wa kule wakibaki wanalilia kiatu cha mfungaji bora kama kombe lao la kujivunia msimu huu,nachelea kusema magoli ya Saido ni magoli ya kupikwa maabara ni magoli ya mchongo ni magoli ya kimkakati kwanini nasema hivi jamaa alipewa maelekezo wewe ukitoa free kick lenga goli tu na kweli kila free aliyokua anapiga ikipita ukuta tu ujue hiyo himo.
Yanaweza kuwa na maelekezo kutoka juu au jamaa wamepitisha mlungula lipo wazi Tff haimpendi Mayele ukiangalia hata aliyepewa kiatu mwaka jana kapotea kabisa alitengenezewa mazingira tu ya kupata kiatu huku mayele akizidi kufanya vizuri.
Magoli yote ya Mayele ni magoli ya kutoa jasho hakuna goli hata moja la kupikwa maabara kama ya Saido Mayele hana goli la penalti pia tukumbuke ligi kuu anacheza pia Caf anacheza tena karibia michezo yote.
Huku wale wa upande wa kule wakibaki wanalilia kiatu cha mfungaji bora kama kombe lao la kujivunia msimu huu,nachelea kusema magoli ya Saido ni magoli ya kupikwa maabara ni magoli ya mchongo ni magoli ya kimkakati kwanini nasema hivi jamaa alipewa maelekezo wewe ukitoa free kick lenga goli tu na kweli kila free aliyokua anapiga ikipita ukuta tu ujue hiyo himo.
Yanaweza kuwa na maelekezo kutoka juu au jamaa wamepitisha mlungula lipo wazi Tff haimpendi Mayele ukiangalia hata aliyepewa kiatu mwaka jana kapotea kabisa alitengenezewa mazingira tu ya kupata kiatu huku mayele akizidi kufanya vizuri.
Magoli yote ya Mayele ni magoli ya kutoa jasho hakuna goli hata moja la kupikwa maabara kama ya Saido Mayele hana goli la penalti pia tukumbuke ligi kuu anacheza pia Caf anacheza tena karibia michezo yote.