Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kaptula inawafaa watu wafupi

Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kaptula inawafaa watu wafupi

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wakuu.

Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kuna mawazi ya yanawafaa watu wenye maumbile flani na mengine hayawafai watu wenye maumbile flani.

Wanaume warefu kaptula hazitufai, hizi zinawafaa zaidi watu wafupi, vile vile jeans, suits, cardets zinawafaa zaidi wanaume warefu, mathalani vazi la suit halikudesigniwa kwa ajili ya watu wafupi, hili shorties mnalibaka ndio maana mtu unakuta anafanana na gunia la mkaa.

Tujaribu kuheshimu mavazi na maumbile yetu, sio kila vazi linamfaa kila mtu. Usione kwa kua mtu fulani kavaa vazi flani akapendeza basi na wewe utamani kua kama yeye, angalia kama mnaendana kiumbo.

Tusipende kulazimisha mambo yawe jinsi tunavyotaka.

Ahsante.
 
Hapo pa jeans, suti, kadeti kwa watu wafupi umeharibu mkuu... Nadhan hujawahi tuona watu wafupi in our quality tumetupia suti na tumetoka chicha ile mbaya halkadhalika jeans na kadeti pia..
Watu wafupi(ila sio mbilikimo) aina nyng ya mavazi yatupendeza tofauti na nyie miTALL...

Wafupi wote OyeeeeeeeeeH.......!!
 
Wakuu.

Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kuna mawazi ya yanawafaa watu wenye maumbile flani na mengine hayawafai watu wenye maumbile flani.

Wanaume warefu kamptula hazitufai, hizi zinawafaa zaidi watu wafupi, vile vile jeans, suits, cardets zinawafaa zaidi wanaume warefu, mathalani vazi la suit halikudesigniwa kwa ajili ya watu wafupi, hili shorties mnalibaka ndio maana mtu unakuta anafanana na gunia la mkaa.

Tujaribu kuheshimu mavazi na maumbile yetu, sio kila vazi linamfaa kila mtu. Usione kwa kua mtu fulani kavaa vazi flani akapendeza basi na wewe utamani kua kama yeye, angalia kama mnaendana kiumbo.

Tusipende kulazimisha mambo yawe jinsi tunavyotaka.

Ahsante.
Kwa hiyo Mimi na urefu wangu wa ft 5 nivae kaptura kazini kwa kuwa suti haitanipendeza?
Wakati mwingine ufanye research ili ujue kila aina ya nguo ina muda na mahali ambapo ita fit ikivaliwa, hiyo bila kujali umbile la mtu.
Kwa mfano; Unaonaje ukivaa suti safi na tai maridadi kabisa na ukaenda kuzoa kinyesi cha ng'ombe?
 
Wakuu.

Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kuna mawazi ya yanawafaa watu wenye maumbile flani na mengine hayawafai watu wenye maumbile flani.

Wanaume warefu kamptula hazitufai, hizi zinawafaa zaidi watu wafupi, vile vile jeans, suits, cardets zinawafaa zaidi wanaume warefu, mathalani vazi la suit halikudesigniwa kwa ajili ya watu wafupi, hili shorties mnalibaka ndio maana mtu unakuta anafanana na gunia la mkaa.

Tujaribu kuheshimu mavazi na maumbile yetu, sio kila vazi linamfaa kila mtu. Usione kwa kua mtu fulani kavaa vazi flani akapendeza basi na wewe utamani kua kama yeye, angalia kama mnaendana kiumbo.

Tusipende kulazimisha mambo yawe jinsi tunavyotaka.

Ahsante.
6 ft na kaptula inanitoa vizur tu, labda ukisema kwa wale wakuvaa za kuishia mapajani ntakuelewa
 
Back
Top Bottom