Sio kila aina ya nguo inamfaa kila mtu, kaptula inawafaa watu wafupi

Yeah, I meant compliment.

I am among those people getting mixed with those two words. Kuanzia sasa sitalokosea tena hilo neno.

Thanks once again brother. I am working on your advice you gave me when we chatted a couple of months ago.
RAS Simba in action...
 
Kaptula zinawafaa watu watupi kwasababu ndio suruali zao
 
Huu mkuki una ncha kali mno na Umerushwa kunako GIZA TORORO, ngoja tusikilizie
 
Na kila mtu na aishi awezavyo na apendavyo,apendeze asipendeze haipaswi kukuhusu.
Kumbuka tunatofautiana katika mambo mengi sana mkuu.....!
 
Lakini kiukweli suti hazijawah mlendeza Rais Mwinyi.
 
Watu wafupi/ urefu wa wastani ni hanger bwana , hata uvae gunia lazima upendeze
 
Huwa naona rafiki zangu warefu wanavyopata shida kuswitch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…